DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JINSI NEEMA YA MUNGU ILIVYOKUWA KUBWA KWA MKE WA LUTU.

Siku zote Mungu akitaka kumuokoa mtu neema yake huwa anaizidisha sana kwa kiwango cha juu kiasi kwamba kwa nje ni rahisi kuona kama anatumia nguvu, au analazimisha ndivyo ilivyokuwa kwa…

AMEFUFUKA KWELI KWELI.

Yesu Kristo Bwana wetu...Amefufuka kweli kweli.. Kila tukio lililokuwa linatendeka wakati wa kusulubiwa kwa Bwana Yesu, wakati wa kuzikwa kwake na wakati wa kufufuka kwake lilikuwa na makusudi maalumu na…

UTAKUWA MTORO NA MTU ASIYE NA KIKAO DUNIANI.

Kaini baada ya kumuua ndugu yake Habili, tunasoma pale Mungu alimlaani, na kumwambia.. “utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani”… Lakini tujiulize ni kwanini…

Je ni wakina nani ambao hawataonja mauti mpaka siku ya kuja Bwana?

Je! Ni wakina nani hao katika (Mathayo 16:28) ambao Bwana alisema hawataonja mauti mpaka atakapokuja? JIBU: Tusome.. Mathayo 16:27 “Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake…

JE SALA YA ROZARI TAKATIFU NI YA KIMAANDIKO?

Historia fupi ya Rozari kama inavyosomwa na kanisa katoliki.(kulingana na wakatoliki inajulikana kama Rozari takatifu) Rozari asili yake ni neno la kiingereza "rosary" lenye maana ya "bustani ya maua ya…

Mariamu Magdalene ni nani. Na hilo jina amelitolea wapi?

SWALI: Ndugu zangu Huyu Mariamu MAGDALENE ni nani?"..Je! Magdene ni jina la baba yake au ni Jina la ukoo wake?. JIBU:  Mariamu Magdalene( wengine wanamwita Magdalena) ni yule mwanamke ambaye…

TUWATAFAKARI NZIGE WA JANGWANI.

Tuwaonapo nzige wa jangwani ni nini tunajifunza? Shalom.. Karibu tuongeze jambo lingine kuhusu ufalme wa mbinguni.. Bwana Yesu alipotuambia utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake…Alimaanisha kweli ufalme huo ili…

USHAURI KWA MWANAMKE WA KIKRISTO.

Mwanamke wa Kikristo unapaswa ujue nini? Karibu tujifunze Biblia, ambayo ndiyo mwanga wa njia zetu na Taa iongozayo miguu yetu. Ujumbe huu unakuhusu wewe binti wa Mungu ambaye pengine una…

EWE MKE! HESHIMA YAKO IPO KWA WAKWE ZAKO.

Heshima na Baraka za mwanamke uliyeolewa zipo kwa wakwe zako (hususani mama mkwe wako). Vitabu viwili vikuu vilivyoitwa kwa majina ya wanawake ni Esta, na Ruthu. Vimeitwa hivyo sio kwasababu…

USIKIMBILIE TARSHISHI.

Usikimbilie tarshishi hakuna uzima Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe daima. Karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio mwanga wa njia yetu na Taa iongozayo miguu yetu. Kama ni…