DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

LITURJIA NI NINI? NA JE IPO KIMAANDIKO?.

Liturjia/Litrujia ni mwongozo wa jinsi ya kufanya ibada unaotumiwa na makanisa mengi. Ibada inaundwa na vitu vikuu vitano, ambavyo ni Maombi, Neno, Matoleo, Sifa, na Meza ya Bwana. Vitu hivi…

Furaha ni nini?

Furaha kwa tafsiri ya kawaida, ni muhemko chanya wa kihisia unaotakana na aidha kuridhishwa na jambo fulani au kupata kitu fulani. Kwa mfano katika biblia Wale mamajusi walipoina tena ile…

Kuwaogopa wanadamu huleta mtego,(Mithali 29:25)

Kuwaogopa wanadamu huleta mtego,(Mithali 29:25)

Gombo ni nini?

Gombo ni aina ya vitabu vilivyo katika mfumo wa kuviringishwa, kwa lugha ya kiingereza “Scrolls” (tazama picha juu). Aina ya vitabu hivi vilitumika sana katika enzi za zamani na vilikuwa…

Je ushabiki wa mpira ni dhambi?

Je! Kucheza mpira au kushabikia mpira ni dhambi kulingana na maandiko?. Bwana kutuumba miili yetu hii ili kuishughulisha, hajatuumbia ikae tu bila kujishughulisha..Na njia mojawapo ya kuishughulisha ni kwa kufanya…

MAOMBI YA KUFUNGULIWA KIUCHUMI.

Kabla ya kwenda katika maombi Awali ya yote ni vizuri ukafahamu kuwa mafanikio ya kiuchumi yanaweza kuletwa na vitu vikuu vitatu Mwanadamu mwenyewe. Shetani. Mungu. Na kila mmoja anayo kanuni…

MISTARI YA BIBLIA KUHUSU WATOTO.

MISTARI YA WAZAZI/WALEZI KUHUSU WATOTO. Haya Mafungu ya biblia ambayo wazazi/walezi wanapaswa wayajue kuhusu watoto wao. Zaburi 8:2a “Vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao Umeiweka misingi ya nguvu;..” Mungu anaonyesha…

Unyenyekevu ni nini?

Biblia inasema nini kuhusu unyenyekevu? Unyenyekevu ni ile hali ya “kujishusha” na kuwa tayari “kutumika kwa utumishi ule usiostahili kutumika” bila kiburi wala majivuno. Biblia inasema Mungu huwapinga wote wenye…

Ni kwa namna gani Yesu ni Simba wa Yuda?

Bwana Yesu amejulikana kwa majina mengi tofauti tofauti katika biblia, kuna sehemu katajwa kama Mwanakondoo (Yohana 1:29), sehemu nyingine kama nyota ya asubuhi, sehemu nyingine kama Mzao wa Daudi (ufunuo…

Vifungu vya biblia kuhusu Uongozi.

Aina za Uongozi Uongozi umegawanyika katika aina kuu tatu. 1) Uongozi wa Madhabahuni, 2) Uongozi wa kiserikali na 3) Uongozi wa kijamii.           1. Uongozi wa Madhabahuni Uongozi wa madhabahuni,…