DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Je ni sahihi kusema waraka fulani ni wa kanisa fulani tu?.

Swali: Je ni sahihi kusema waraka fulani wa Mtume Paulo ni kwaajili ya kanisa fulani tu?...Mfano waraka wa Wakorintho uliwahusu Wakorintho  tu peke yao hivyo si vitu vyote vya kuchukua…

WAKRISTO WA UONGO.

Je unajua nguvu ya manabii, wachungaji, mitume, waalimu na wainjilisti wa uongo inatoka wapi? Si kwingine zaidi ya kwa wakristo wa uongo!.. Labda utajiuliza wakristo wa uongo ni wapi? Wakristo…

Arkipo ni nani katika biblia?

Arkipo ni mmoja wa wahudumu wa agano jipya. Ambaye alikuwa na ushirika wa karibu na mtume Paulo katika kazi ya kuieneza injili. Paulo alipokuwa anamwandikia waraka Filemoni, anamtaja Arkipo kama…

Aristarko ni nani kwenye biblia? (Matendo 20:4)

Aristarko ni mmoja wa wahudumu wa injili katika agano jipya. Paulo anamtaja kama mtenda kazi pamoja naye (Filemoni 1: 24), wengine wakiwa ni Luka, dema, na Marko. > Aristarko ni…

USIRUDI NYUMA KATIKA IMANI

Tukiwa bado tupo mwanzo wa mwaka, ni wakati wa kushika sana vile tulivyo navyo na kuendelea mbele, wala si wakati wa kurudi nyuma kabisa. Usiyarudie mambo ya kale uliyoyaacha, usiyatamani…

Sosthene ni nani katika biblia? (Matendo 18:17)

Sosthene ni mmoja wa wahudumu wa injili Katika agano jipya. Mshirika mmojawapo wa mtume Paulo, katika kazi ya kuitetea injili. Katika kitabu cha matendo anatajwa kama mkuu wa sinagogi, kule…

Tikiko ni nani kwenye biblia?

Tikiko ni mmoja wa washirika waliohudumu na mtume Paulo katika kazi injili. Ijapokuwa si mtu anayejulikana sana..lakini ametajwa sehemu kadha wa kadha katika vitabu vya agano jipya. > Anatajwa kama…

Bwana aliposema Maua hayasokoti alimaanisha nini? (Mathayo 6:28).

Jibu: Turejee… Mathayo 6:28 “Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala HAYASOKOTI 29 nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote…

Tatizo la kula udongo linasababishwa na nini?

Si jambo la kawaida mwanadamu kula Udongo!.. Hivyo inapotokea mtu anakula udongo kupitiliza, basi hilo laweza kuwa tatizo la kiroho zaidi ya kuwa tatizo la kisayansi.. Ndio zipo tafiti chache…

Makumbi ni nini? (Isaya 1:31)

Jibu: Turejee. Isaya 1:31 “Na mtu hodari atakuwa kama MAKUMBI, na kazi yake kama cheche ya moto; nao watawaka pamoja, wala hapana atakayewazima”. “Makumbi” ni malighafi yoyote inayotumika katika kuanza…