DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MISTARI YA BIBLIA YA UPONYAJI.

Jiunge na group la Whatsapp, ujifunze biblia na upate 'Neno la siku' kila asubuhi. Na mistari mingine mingi ya faraja ..kwa link hii >>>> https://chat.whatsapp.com/LO2BncRILtiAlnRYfZWG2V Mistari ya biblia ya uponyaji.…

MISTARI YA BIBLIA KUHUSU UPENDO.

Jiunge na group la Whatsapp, ujifunze biblia na upate Neno la siku kila asubuhi. Na mistari mingine mingi ya faraja ..kwa link hii >> https://chat.whatsapp.com/LO2BncRILtiAlnRYfZWG2V Mistari ya biblia kuhusu upendo.…

KUMCHA MUNGU NI NINI? NA MTU ANAMCHAJE MUNGU?

Kumcha Mungu ni kukoje? Kumcha Mungu ni Neno la jumla, linalomaanisha kujishughulisha na mambo yote yanayompendeza Mungu ikiwemo; kumpenda, kumtii, kumwogopa, kuchukia uovu, kumtumikia yeye, kufanya mapenzi yake, kumwabudu, kumfanyia…

FAHAMU MAJIRA ULIYOPO NA NINI UNAPASWA UWE NACHO.

Kiwango cha uelewa kuhusu wokovu au Mungu waliokuwa nacho Kiwango cha uelewa, hutupaswi tuwe nacho sisi kwa wakati huu, tunapaswa tuende zaidi ya pale, Hata mambo ya kidunia yanatufundisha, elimu…

VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 8 (Kitabu cha Ezekieli)

Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze Biblia. Huu ni mwendelezo wa vitabu vya biblia ambao tumeshatazama vitabu 17 vya mwanzo..Ikiwemo kitabu cha Ezra na Yeremia. Hivyo leo kwa…

KWANINI TUNAOMBA KWA JINA LA YESU?

Ili kujua vizuri ni kwanini tunaomba kwa jina la Yesu. Tafakari kidogo mfano huu. Jaribu kuwaza, mfano wewe ni mwekezaji halafu umeona shamba zuri mahali Fulani na unataka kwenda kuekeza…

JE KUVAA PETE NI DHAMBI?

Je kuvaa pete ni dhambi kwa mkristo? Awali ya yote kabla hatujafahamu kama kuvaa pete ni dhambi au sio dhambi ni vizuri  kwanza tukajua jambo hili kuwa biblia imekataza wanawake…

Nini maana ya “wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto”?

SWALI: Biblia inaposema “Na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto” Ina maana gani? (Yuda 1:22). JIBU: Ukisoma kitabu chote cha Yuda kwa utulivu ambacho ni sura 1 tu, utaona maudhui…

Who are these people whose place was not found

Who are these people whose place was not found? (Revelation 20:11) ANSWER: Let's read. Revelation 20:11 “And I saw a great white throne, and him that sat on it, from…

KUOTA UPO KANISANI.

Kuota upo kanisani inamaanisha nini kimaandiko? Hiyo ni ndoto njema itakayo kwa Mungu. Kamwe shetani hawezi kukuotesha ndoto ya namna hiyo.. Kama umeota ndoto hii kuna mawili. La kwanza ikiwa…