Ayubu 23:10 “Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu” Kila mmoja kaandaliwa mapito yake na Mungu, ijapokuwa hatma yetu ni moja lakini mapito kamwe hayawezi kufanana. Na…
Mafundisho maalumu kwa watumishi wa Mungu (Wachungaji, Mitume, manabii, wainjilisti n.k.) Mithali 29:4 “Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua” Uongozi wa kidunia mara nyingi hutoa picha…
Mhubiri 10:20 Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari JIBU: Ni vema kutambua…
SWALI: Naomba kufahamu maana ya hili andiko; Mithali 9:13 “Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu”. JIBU: Kupiga kilele kunakozungumziwa hapo ni zaidi ya ile ya ‘kupaza sauti ya…
Ni kwa namna gani baraka ya Bwana haichanganyi na huzuni, nyuma yake? Mithali 10:22 “Baraka ya Bwana hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo” JIBU: Kwanza ni vema kufahamu hapo anaposema ‘Baraka…
Swali: Maandiko yanasema “Haki huinua Taifa”.. Je hii imekaaje kiundani zaidi? Jibu: Tusome, Mithali 14:34 “HAKI HUINUA TAIFA; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote”. Kwa tafsiri ya kawaida…
SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 14:23 “Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu” JIBU: Kitabu cha Mithali na Mhubiri ni vitabu vilivyobeba mafunzo…
Isaya 46:3 “Nisikilizeni, enyi wa nyumba ya Yakobo, ninyi mlio mabaki ya nyumba ya Israeli, mliochukuliwa nami tangu tumboni, mlioinuliwa tangu mimbani; 4 na hata uzee wenu mimi ndiye, na…
Ayubu 20:4 Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi, 5 Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu…
Ayubu 5:6 “Kwani taabu haitoki mchangani, Wala mashaka hayachipuki katika nchi;” Watu wengi tumekuwa tukilaumu mazingira, tukilaumu wanyama, tukilaumu ardhi, na vitu vingine vya asili kuwa ndio chanzo cha matatizo…