DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Kombeo ni nini? Teo ni nini katika biblia?

Kombeo ndio hiyo hiyo teo,  ni moja ya silaha ya kurusha iliyotumika zamani katika vita. Kombeo/teo ilitengenezwa kwa Ngozi au Kamba, na jiwe lilikuwa likiwekwa katikati yake na kurushwa kumwelekea…

HAKUVAA NGUO SIKU NYINGI.

Luka 8:26 “Wakafika pwani ya nchi ya Wagerasi, inayoelekea Galilaya.27 Naye aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mji ule, mwenye pepo, HAKUVAA NGUO SIKU NYINGI, wala hakukaa nyumbani, ila…

AKAWAPONYA WALE WENYE HAJA YA KUPONYWA

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu, ambalo ni Mwanga wa njia zetu na taa iongozayo miguu yetu! (Zab 119:105). Si watu wote…

Liwali ni nani?

Liwali ni mkuu wa mji au jimbo Fulani. (Gavana). Kwamfano katika biblia tunaona, Pontio Pilato anatajwa kama Liwali wa Uyahudi sehemu ya kusini mwa Israeli,. Hivyo eneo lote la uyahudi…

Akida ni nani kibiblia, na kazi yake ni ipi? (Mathayo 8:5)

Akida ni mkuu wa majeshi ya zamani, hususani majeshi ya kirumi. Akida mmoja alikuwa anaongoza kikosi cha askari 100,. Maakida wengi walikuwa wanachaguliwa na watalawa wao wakuu moja kwa moja…

Sifa ni nini?

Sifa ni kitendo cha kumshuhudia Mungu, au kuyasimulia matendo makuu ambayo ameyafanya au aliyonayo, na huwa inaambata na mguso wa ndani unaomfanya mtu arukeruke, acheze, afurahie, aimbe, ashangalie, apige kilele…

Kuhimidi ni nini?(Zaburi 31:21)

Kuhimidi kibiblia ni kumpa Mungu sifa iliyochanganyikana na heshima na unyenyekevu wa hali ya juu sana, Neno hili limeonekana  mara nyingi sana katika biblia, Kwamfano hivi ni baadhi ya vifungu,…

Mwana haramu ni nani kibiblia? (Kumbukumbu 23:2).

Mwana-haramu, au mwana wa haramu ni mtu aliyezaliwa nje ya Ndo Takatifu. Zamani katika jamii ya Israeli, Mungu aliwakataza wana wa Israeli, wasioane na watu wa mataifa. (Kumbukumbu 7:2-3). Wala…

Uchaga ni nini? (Luka 12:24)

Jibu: Tusome, Luka 12:24 “Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana GHALA wala UCHAGA, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!” “Ghala” ni chumba/nyumba ndogo ya kuhifadhia…

NIFANYE NINI ILI MUNGU AYAJIBU MAOMBI YANGU?

Ukienda kuomba kazi yoyote halali, kikawaida huwezi kupewa majibu ya papo kwa papo na kuambiwa anza kazi leo, bila ya kutaka kwanza taarifa Fulani kutoka kwako, hata kama ni ile…