Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Maandiko..Biblia inatuasa tuwe tunajikumbusha kila siku yale ambayo tumeshajifunza ( 2 Petro 1:12-13, Yuda 1:5), hiyo itatusaidia kutompa nafasi shetani kuziiba zile mbegu ambazo…
Kila mtu anayemwongoza mwenzake katika kutenda haki biblia inamfananisha na nyota.. Danieli 12:3 “Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa…
Kwanini maombi ya Usiku yana nguvu kuliko ya mchana? Usiku watu wakiwa wamelala ndio muda ambao mawakala wa shetani (wachawi) wanafanya kazi, kwahiyo kuna uhusiano mkubwa wa mtu akiwa amelala…
Mbinguni ni mahali mbali sana na upeo wetu wa kufikiri, na umbali huo haupo katika mfumo wa kilometa, au maili hapana! bali kiufahamu...Katika miili hii ya damu na Nyama hatuwezi…
Mpaka umefikia kuuliza hili swali, naimani ni mtu unayependa kuabudu kitu unachokifahamu..Na pia naamini unapouliza dini ya kweli ni ipi unamaanisha kuwa ni Imani ipi ya kweli..Leo duniani zipo dini…
Dini ni nini? Dini ya kweli ni ipi? na Imani ya kweli ni ipi? Dini ni tendo linalotokana na Imani fulani (mambo ya rohoni), pale tu mtu anapoamini uwepo wa…
Yesu kwetu ni rafiki, hwambiwa haja pia;tukiomba kwa Babaye, maombi asikiyaLakini twajikosesha, twajitweka vibaya; kwamba tulimwomba Mungu, dua angesikia. Una dhiki na maonjo? Una mashaka pia.Haifai kufa moyo, dua atasikia.Hakuna…
SWALI: Mwanzo 29:16 "Labani alikuwa na binti wawili, jina la mkubwa ni Lea, na jina la mdogo ni Raheli. 17 Naye Lea macho yake yalikuwa DHAIFU, lakini Raheli alikuwa mzuri…
Kama mkristo ili uweze kuenenda kikamilifu katika safari yako ya wokovu hapa duniani bila dosari zozote zisizokuwa na sababu, ipo mistari miwili ya kuzingatia.. Wa kwanza ni huu: Wakolosai 3:17…
JIBU: Uumbaji wa Mungu umegawanyika katika sehemu kuu mbili… Sehemu ya kwanza: Ni Viumbe vya kimbinguni …Viumbe hawa wa kimbinguni nao wamegawanyika katika sehemu kuu mbili, nao ni malaika…