DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

KILA SILAHA ITAKAYOFANYIKA JUU YAKO HAITAFANIKIWA.

Jina la BWANA wetu YESU KRISTO lihimidiwe daima. Neno la Mungu linasema.. Isaya 54:17 “KILA SILAHA ITAKAYOFANYIKA JUU YAKO HAITAFANIKIWA Kila na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu…

Mhunzi ni nani? (Isaya 54:16)

Jibu: Turejee.. Isaya 54:16 “Tazama, nimemwumba MHUNZI avukutaye moto wa makaa, akatoa silaha kwa kazi yake; nami nimemwumba mharibu ili aharibu” Mhunzi/ Wahunzi  wanaozungumziwa katika biblia ni watu “wanaofua Vyuma,…

Majumbe ni watu gani? (Mwanzo 36:15).

Jibu: Turejee.. Mwanzo 36:15 “Hawa ndio MAJUMBE wao wana wa Esau; wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau; JUMBE Temani, JUMBE Omari, JUMBE Sefo, JUMBE Kenazi, 16 JUMBE Kora,…

Sifa na Lami ni nini? (Kutoka 2:3).

Swali: Sifa na Lami ni nini kama tunavyosoma katika Kutoka 2:3 Jibu: Turejee.. Kutoka 2:3 “Na alipokuwa hawezi kumficha tena, akampatia kisafina cha manyasi akakipaka SIFA NA LAMI, akamtia mtoto…

Sakitu ni nini? (Ayubu 38: 29)

Sakitu ni BARAFU INAYOANGUKA KUTOKA JUU, ambayo mara nyingi inafunika mimea, au barabara au nyumba katika nchi zenye baridi kali. (Tazama picha juu). Ayubu 38: 29 “Barafu ilitoka katika tumbo…

JE UMEUFIKIA ULE UTUKUFU HALISI WA MANA? 

Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu katika kujifunza Neno la uzima. Ni vizuri kufahamu mana waliyopewa wana wa Israeli jangwani, ijapokuwa ilikuwa ni ileile lakini haikuwa na…

Mchuuzi ni nani? (Hosea 12:7).

Swali: Mchuuzi maana yake nini kama tunavyosoma katika Hosea 12:7? na je tunaruhusiwa kuwa wachuuzi? Jibu: Turejee. Hosea 12: 7 “Ni MCHUUZI, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu”…

KUWA NA JUHUDI KATIKA ROHO.

Jina la Bwana wetu YESU KRISTO libarikiwe. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo Mwanga wa njia yetu na Taa iongozayo miguu yetu (Zaburi 119:105). Wengi tuna juhudi katika…

Ni alama gani Mungu aliyomtia Kaini mwilini? (Mwanzo 4:15)

SWALI:Ni alama gani Mungu aliyomtia Kaini mwilini? Tunaona Kaini baada ya kumuua ndugu yake Habili, Mungu alimpa adhabu kwa kumwambia maneno haya; Mwanzo 4: 9 Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi…

Fahamu ni nani aliye mwandishi wa kitabu cha Mathayo.

SWALI: Mwandishi wa kitabu cha Mathayo ni nani? Kama jina la kitabu linavyojieleza “INJILI KAMA ALIVYOIANDIKA MATHAYO MTAKATIFU”. Maana yake ni kuwa kitabu hiki kiliandikwa na Mathayo. Lakini utata unakuja…