DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JE! NI CHEMCHEMI IPI INATOKA NDANI YAKO, YA MITO AU YA KISIMA?

Mtu yeyote aliyeokoka, ndani ya moyo wake kunatokea chemchemi ya maji  yaliyo hai (Mithali 4:23). Na maji hayo huwa hayakauki, kwasababu yanatoka kwenye chanzo chenyewe  halisi ambacho ni Yesu Kristo,…

HAWEZI KUWA MWANAFUNZI WANGU.

Luka 14:27 “Mtu ye yote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, HAWEZI KUWA MWANAFUNZI WANGU”. Je unaelewa maana ya kuwa Mwanafunzi? Zifuatazo ni sifa za mwanafunzi.    1. KUFUNDISHWA…

JIFUNZE JAMBO KWENYE UKOO WA YESU, UWE NA AMANI

Leo hii kumekuwa na hofu nyingi katikati ya watu, juu ya historia na machimbuko ya familia zao.  Wengine wameona maisha yao au tabia zao za sasa zimeathiriwa na chimbuko la…

Mungu anachukia kuachana (Malaki 2:16)

(Masomo maalumu kwa wanandoa) Kama unafikiria kuachana na huyo ulifunga naye ndoa ni jambo la busara,  basi fahamu kuwa unafanya jambo linalomchukiza BWANA MUNGU. Kwanini???.. ni kwasababu Mungu anachukia kuachana.…

Je mkristo anaruhusiwa kuchangia damu?

Swali: Je mkristo anaruhusiwa kuchangia damu kwa mgonjwa aliye katika uhitaji huo, kwaajili ya kuokoa maisha yake? Jibu: Biblia inasema maneno yafuatayo… 1Yohana 3:16 “Katika hili tumelifahamu pendo, kwa kuwa…

Kwanini kuna mrudio wa uumbaji kwenye Mwanzo sura ya pili?

Swali: Tukisoma Mwanzo sura ya kwanza tunaona Mungu akimaliza kazi yote ya uumbaji kwa zile siku saba, lakini tukirudi kwenye Sura ya pili tuona ni kama tena Mungu anarudia uumbaji…

Kwanini biblia ni neno la Mungu?

Swali: Je ni kweli biblia ni Neno la Mungu? Kabla ya kujibu kwanini biblia ni Neno la Mungu, na si kitabu kingine chochote?... hebu tujiulize kwanza na tujadili kwanini Biblia…

Nyota ya bahati yangu ni ipi?

Je ni kweli kuna watu wenye nyota ya bahati? Na je nitaipate nyota hiyo maishani mwangu? JIBU: Nyota ya bahati inasadikika ni pale mtu anapobahatika kupata kitu kwa haraka au…

Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu.

Ni nini tunajifunza katika maisha ya Nuhu, ambaye Mungu alimshuhudia kuwa mwenye haki katika kizazi chake? Lakini baadaye akaja kunaswa katika ulevi uliomletea aibu kubwa nyumbani mwake? Mwanzo 9:20 Nuhu…

Mlango la kondoo ulikuwaje?(Yohana 5:2)

Swali: Ule mlango wa kondoo unaotajwa katika Yohana 5:2, ulikuwa ni mlango wa namna gani?, na umebeba ujumbe au ufunuo gani sasa? Jibu: Turejee. Yohana 5:2 “Na huko Yerusalemu penye…