DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Rehani ni nini katika biblia?

Rehani ni nini kibiblia?, na je sisi wakristo tunaruhusiwa kuweka kitu rehani? Rehani ni mali iliyowekwa kama dhamana kwa mkopo uliochukuliwa, maana yake mkopo usipolipwa basi mali ile inachukuliwa ili…

Rahabu kwenye biblia.

Rahabu ni nani? Jina "Rahabu" limeonekana mara kadhaa katika biblia likiwa na maana Zaidi ya moja. Maana ya kwanza ni linamwakilisha Mwanamke wa kikanaani aliyekuwa kahaba, aliyewahifadhi wapelelezi wa kiisraeli…

Machukizo ni nini?

Machukizo au Chukizo ni nini? kama tunavyosoma katika biblia? Machukizo linatokana na neno “chukizo” na chukizo ni kitu kinachosababisha chuki/hasira. Kwa Mungu kitu chochote kinachoipandisha ghadhabu yake kinaitwa “chukizo”. Na…

Kemoshi ni nani? (Yeremia 48:46)

Swali: Huyu Kemoshi alikuwa nani, na nini tunajifunza kutoka kwake? Jibu: Turejee, Yeremia 48:46 “Ole wako! Ee Moabu, Watu wa Kemoshi wamepotea; Maana wana wako wamechukuliwa mateka, Na binti zako…

Antiokia ni wapi kwasasa?

Antiokia ipo nchi gani kwa sasa? Na nini tunaweza kujifunza kupitia mji huo? Jibu: Antiokia ni mji uliopo kusini mwa Taifa la UTURUKI na Kaskazini mwa Taifa la SIRIA. Mji…

JE WEWE NI ALAMOTHI?..BASI TIMIZA YAFUATAYO!

Masomo maalumu yahusuyo (Wanawake na mabinti). Alamothi ni nini? Na nini ufunuo wake? (1Nyakati 15:20) Jibu: Tusome, 1Nyakati 15:19 “Hivyo hao waimbaji, Hemani, Asafu, na Ethani, wakaagizwa kupiga matoazi yao…

Mgawanyo wa Vitabu vya Biblia

AGANO LA KALE Vitabu vya Agano la Kale vimegawanyika katika makundi makuu manne (4)       1. VITABU VYA SHERIA. (Tazama jedwali chini).      2. VITABU VYA HISTORIA…

Je ni Mungu au Malaika?

Swali: Je biblia inajichanganya katika Zaburi 8:4-5 na Waebrania 2:6-7. Maana sehemu moja inataja ‘Mungu’, na sehemu nyingine ‘Malaika’. Jibu: Turejee. Zaburi 8:4 “Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na…

Mbaruti ni mmea gani? (Mathayo 7:16)

Mbaruti ni nini?.(Mibaruti ni mimea ya aina gani) na umebeba ujumbe gani kiroho?. Jibu: Turejee, Mathayo 7:16 “Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika…

MADHIHIRISHO MATATU YA MUNGU.

Mungu amejifunua katika Ofisi kuu 3, (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu). Lakini katika dhihirisho zote hizi tatu (3) Mungu anabaki kuwa mmoja na si watatu. Sasa swali ni je kama…