DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

WAMNGOJEAO BWANA WATAPATA NGUVU MPYA.

Wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya. Ipo ahadi kubwa sana ambayo Mungu kaitoa kwa wale walioamua kuiacha dunia na kumfuata yeye kwa gharama zote. Na ahadi yenyewe ni “kupokea nguvu mpya…

Vichwa saba vya mnyama wa kwenye Ufunuo 13 na 17, Ni nini?

Je! Vichwa saba vya mnyama wa kwenye Ufunuo 13 na 17, Ni nini? JIBU: Tukisoma kitabu cha Ufunuo ni kweli tunamwona mnyama aliyetajwa mwenye vichwa saba na pembe kumi..Tofauti na…

Je mama mjamzito anaruhusiwa kufunga?

Je mama mjamzito anaruhusiwa kufunga?..Na je watoto wadogo wanaruhusiwa kufunga na kusali? Na je inawezekana kufunga siku 40 bila kula?.. Kabla ya kufahamu kama mama mjamzito anaruhusiwa kufunga au la!..Hebu…

JE VIBWENGO NI KWELI VIPO?

Je Vibwengo ni kweli vipo au ni hadithi za kutunga?.. Je namna ya kuvidhibiti vibwengo, mapepo na mashetani ni ipi? Na roho hizo za vibwengo zifanyaje kazi? Kwanza ni muhimu…

KIFO CHA REINHARD BONKEY KINAACHA UJUMBE GANI KWETU?

Kifo cha Reinhard Bonkey kinaacha ujumbe gani kwetu? Mwinjilisti wa kimataifa Reinhard Bonkey, raia wa Ujerumani, aliyezaliwa tarehe 19 Aprili 1940.. Anaeleza jinsi alivyompa Kristo Maisha yake akiwa bado kijana…

NENO HILI NI GUMU,NI NANI AWEZAYE KULISIKIA?

NENO HILI NI GUMU, NI NANI AWEZAYE KULISIKIA? Tuwe tayari pia kuyapokea maneno magumu kutoka kwa Kristo. Si maneno yote aliyokuwa anayazungumza Bwana yalikuwa ni mepesi kuyapokea kwa namna ya…

JE TATIZO LA KULA KUCHA NI ISHARA YA KUWA NA MAPEPO?

Utaachaje kula kucha?..dawa ya kuacha kula kucha ni ipi?..Je ni kweli tatizo la kula kucha haisababishwi na mapepo?..Je mtu atahukumiwa kwa kosa la kula kucha?..Karibu tujifunze pamoja kwa kuongeza maarifa…

USILETE UJIRA WA KAHABA, NYUMBANI KWA MUNGU.

Usilete ujira wa kahaba, nyumbani kwa Mungu. Shalom, Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Maandiko.. Kuna mambo ambayo unaweza kuyasema ukadhani hayapo kabisa kwenye biblia..Lakini yapo!...Na kuna mambo…

VIFO VYA MITUME WA YESU/ JINSI MITUME WALIVYOKUFA.

Vifo vya mitume wa Yesu/ jinsi mitume walivyokufa. Mtume pekee ambaye biblia inarekodi mauaji yake jinsi yalivyokuwa ni mtume Yakobo ndugu yake  mtume Yohana. Huyu biblia inasema katika Matendo 12:1-2,…

MTINI, WENYE MAJANI.

Mtini, wenye majani ni upi? Jina kuu la mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu, Na leo tutajifunza somo lenye kichwa kinachosema “MTINI, WENYE MAJANI”..Unaweza usielewe kichwa…