DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

UTAIKUZAJE IMANI NDANI YAKO?

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, lihimidiwe daima. Karibu katika darasa hili fupi la biblia? Je unajua imani inafananishwa na nini? Na je unajua ni kitu gani kinachoikuza…

JE UNAMHUBIRI KRISTO KATIKA KWELI YOTE?.

(Masomo maalumu kwa watumishi wa Mungu). Kama Mtumishi wa Mungu je unamhubiri Kristo katika Kweli yote?. Ni rahisi kutamani na kutafuta Ishara kama njia ya KUU ya Kumhubiri Kristo, lakini…

Je! Habari iliyo katika 1Nyakati 21:25, na 2Samweli 24:24, ya Daudi kununua kiwanja  inajichanganya?

SWALI:  Ni ipi gharama sahihi ambayo Daudi aliilipia, kununulia shamba la Arauna, kwa ajili ya kumjengea Mungu hekalu. Je! Ni shekeli 600, au shekeli 50?. Je! Biblia inajichanganya. JIBU:  Tusome,…

VUNJA AGANO LA MAUTI.

Mtu anaingiaje agano na mauti? “Agano” kwa jina lingine ni “Mkataba” Mtu anapoingia mkataba na mtu mwingine ni sawa na kaingia agano na mtu huyo. Sasa mwanadamu pia anaweza kuingia…

Novena ni nini? Na je ipo kibiblia?

Jibu: Neno “Novena” limetokana na neno la kilatini “Novem”… lenye maana ya “Tisa”(9). Madhehebu baadhi ikiwemo Katoliki na Orthodox yamelitohoa neno hili na kulitumia katika aina Fulani ya mfululizo wa…

Kuomba katika roho ni kupi? na je nifanye nini ili niweze kuomba hivyo?

Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Waefso 6:18  kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote Yuda 1:20 …

Wakili ni nani kibiblia? Uwakili ni nini?

Wakili kibiblia ni mtu aliyepewa usimamizi wa nyumba (Au kaya) ya mtu mwingine. Na usimamizi huo unajumuisha kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia, mpaka mali alizonazo bwana wake. Uwakili tunaona tangu…

Hadaa ni nini kibiblia? (2Petro 2:14)

Kuhadaa ni kudanganya, au kulaghai, kutumia njia isiyosahihi/ ya mkato kufanikisha au kupata jambo. Neno hilo utalipata katika vifungu hivi baadhi; Mwanzo 31:20 “Yakobo akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia…

Je! waliokufa kabla ya Bwana Yesu wataokolewaje?

Swali: Je waliokufa kabla ya Bwana Yesu kuja (yaani watu wa agano la kale)wataokolewaje?.. kwamaana tunajua kupitia damu ya Yesu tu! ndio tunapata ukombozi wa hakika wa dhambi, sasa waliokuwa…

Sukothi ni nini? (Mwanzo 33:17).

Jibu: Tusome, Mwanzo 33:17 “Yakobo akaendelea mpaka Sukothi. Akajijengea nyumba, akawafanyia makundi yake vibanda. Kwa hiyo jina la mahali pale pakaitwa Sukothi”.  Tafsiri ya neno “Sukothi” ni “Mahema”.. Hii ni…