DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

 Je kualikwa kwenye sherehe za watu ambao si wakristo ni dhambi?

SWALI: Je ni sahihi kualikwa kwenye karamu za watu wasio wakristo (mfano waislamu kwenye sikukuu zao za eid au futari) na kula nao ni dhambi? JIBU: Swali hili jibu lake…

UUMBAJI BORA WA MUNGU, UPO NDANI YA MWANADAMU.

Habari ya uumbaji ina mafunzo mengi sana. Biblia inatuambia Mungu alimuumba mwanamume na mwanamke kwa mfano wake(Mwanzo 1:27). Lakini katika siku sita za uumbaji, Tunaona kulikuwa na uumbaji mmoja muhimu…

Je! Mwanamke anapaswa afunikwe kichwa anapokuwa ibadani?

Jibu la swali hili linahitaji unakini mkubwa kwasababu lisipoeleweka vizuri ni rahisi kusema biblia ina ubaguzi wa kijinsia au biblia haimaanishi hivyo inavyomaanisha. Hebu tusome mistari michache ifuatayo.. 1Wakorintho 11:3…

Kwanini Bwana alirejea Tiro na Sidoni kwa mfano wa Sodoma?

SWALI: Kwanini Bwana Yesu aliitaja Tiro na Sidoni, kwamba kama ingeliona miujiza ile aliyoifanya kule Bethsaida ingalitubu kwa kuvaa magunia na majivu. Kwani miji hii ilikuwa ni ya namna gani,…

USIABUDU SANAMU.

Sanamu ni kitu chochote kile kinachotengenezwa chenye umbile aidha la malaika wa mbinguni, mwanadamu, mnyama, au mimea…Mwanadamu yoyote anayetengeneza kitu chochote chenye mifano ya hivyo vitu tayari kashatengeneza sanamu. Sasa…

Maneno haya yana maana gani?..” Avaaye asijisifu kama avuaye “

1.Naomba kuelezewa maana ya huu mstari tafadhali,  unaosema; Mfalme wa Israel akajibu, akasema, Mwambieni " Avaaye asijisifu kama avuaye "  huyu mfalme alikuwa anamaanisha nimi kusema hivyo? (1Wafalme 20:11) JIBU:…

MAHALI UNAPOPASWA USIMVUMILIE SHETANI HATA KIDOGO.

Katika injili utaona zipo sehemu kuu mbili ambazo Bwana alimfukuza shetani waziwazi.. sehemu ya kwanza ni pale shetani alipotaka amsujudie kwa mapatano kuwa atampa milki zote za ulimwengu.Na sehemu ya…

Je ni dhambi kuota unafanya kitu Fulani ambacho ni kinyume na mapenzi ya Mungu?

Ni dhambi kuota unafanya kitu kiovu kama uzinzi, uuaji, wizi, uasherati, au ulevi? JIBU: Ndoto huja pasipo hiari ya mtu..hakuna mtu anayeweza kupanga aote nini leo au kesho…Zinakuja tu zenyewe…

Kwanini Bwana aliongea na Abramu baada ya kutengeana na Lutu?

Mwanzo 13:14 Bwana aliongea na Abramu Alipotengana na Lutu na kumpa nchi. Sasa ni kwanini aongee naye baada tu ya wao kutengana?. inamana uwepo wa Lutu ulimzuia Mungu kumpa nchi…

UTUKUFU NA HESHIMA.

Utukufu na Heshima. Mungu wetu ndiye anayestahili utukufu na heshima yote..biblia inatuambia hivyo katika.. Ufunuo 4:11  “Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea UTUKUFU NA HESHIMA na uweza; kwa…