DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

KWANINI MTINI KATIKATI YA MIZABIBU?

Kuna baadhi ya watu Mungu anawapanda katika kanisa, kwa namna ya kitofauti na kipekee sana.. Na pengine wenyewe hawalijui hilo..hivyo wanaishi maisha ya kimaficho ficho tu..au ya juu juu tu,…

Maji ya Zamzam yapo kibiblia?

Naomba kujua kama Maji ya Zamzam yapo kibiblia na kama tunaweza kuyanunua na kutumia. Jina kuu la Mwokozi wetu Yesu libarikiwe. Maji ya Zamzam ni maji yanayoaminika kutoka katika kisima…

DONT LEAVE YOUR CLOTHES AND GO NAKED!

There is a place tha Lord said these words... Revelation 16:15 "Behold, I come as a thief. Blessed is he that watcheth, and keepeth his garments, lest he walk naked,…

JE UPANGA UMEINGIA MOYONI MWAKO?.

Maandiko yanasema, Neno la Mungu ni kama Upanga unaokata kuwili, (yaani una makali pande mbili,mfano wa sime). Na lina uwezo wa kuzigawanya Nafsi na Roho. Mtu aliyejikana Nafsi yake, na…

Na alaaniwe ampigaye mwenzake kwa siri.

SWALI: Nini maana ya huu mstari Kumbukumbu 27: 24 “Na alaaniwe ampigaye mwenzake kwa siri. Na watu wote waseme Amina”. SWALI: Kulingana na sheria ya wayahudi, kosa lolotela kumdhuru mwenzako,…

Sadaka ya kutikiswa ilikuwaje?

Katika Agano la kale zilikuwepo aina za sadaka mbali mbali, ambazo Mungu aliwaagiza wana wa Israeli wazitoe, ilikuwepo sadaka ya Amani, sadaka ya dhambi, sadaka ya kuinuliwa, kadhalika ilikuwepo sadaka…

UDHURU NI NINI KIBIBLIA?

Shalom, karibu tujifunze na tujikumbushe wajibu wetu sisi kama watakatifu katika safari yetu ya Imani hapa duniani. Kuna mambo ambayo tunaweza tukashindwa kumfanyia Mungu, tukadhani kuwa “Mungu anaelewa”, kumbe yanatafsirika…

Hapo ndipo, atakapompa Mungu Baba ufalme wake.

SWALI: Kulingana na Danieli 7:14 inatabiri kuwa Ufalme wa Bwana Yesu utakuwa ni wa milele, Lakini tukirudi katika 1Wakorintho 15:24 anasema mwishoni atampa Baba yake ufalme wake, Je hapo inamaana…

What is the meaning of ” For the letter killeth but the spirit giveth life” (2 Corinthians 3:6)

Answer: Let's read 2 Corinthians 3:6 "Who also hath made us able ministers of the new testament; not of the letter, but of the spirit: for the letter killeth, but…

Nini maana ya “mtakayoyafunga duniani, yatakuwa yamefungwa mbinguni”?

Maneno hayo tunayasoma katika kile kitabu cha Mathayo 18:18, Mathayo 18:18 “AMIN, NAWAAMBIENI, YO YOTE MTAKAYOYAFUNGA DUNIANI YATAKUWA YAMEFUNGWA MBINGUNI; NA YO YOTE MTAKAYOYAFUNGUA DUNIANI YATAKUWA YAMEFUNGULIWA MBINGUNI” Sasa ili…