DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Agano jipya ni nini?

Agano jipya ni nini? Tukitamka neno “agano jipya”  tunathibitisha kuwa lilishawahi kuwepo agano la zamani (La kale) hapo kabla. Hivyo ili kufahamu agano jipya ni nini, ni vizuri kwanza ukapata…

UPENDO WA MUNGU.

Upendo wa Mungu ni upi? Kwanza kabla ya kufahamu upendo wa Mungu upoje, ni muhimu kufahamu aina za upendo. Zipo aina kuu tatu za upendo. Aina ya kwanza ni Upendo…

MWAMBA WENYE IMARA

“Mwamba wenye Imara, kwako nitajifichaa...” Ni wimbo wa kenye kitabu cha Tenzi, ambao unafahamika sana...lakini historia ya wimbo huu ni haujulikani na wengi. Wimbo huu uliandikwa na Mhubiri mmoja wa…

SIKU ZA MWISHO WA DUNIA.

Siku za mwisho wa dunia zitakuwaje? Ukweli ni kwamba dalili zote zinaonyesha kuwa tunaishi katika siku hizo. Shetani anawapufusha watu wengi macho wasilione hilo, ili waendelee kujiburudisha katika mambo maovu…

Je! Lewiathani ni nani?

Lewiathani ni nani? Zaburi 104: 25 “Bahari iko kule, kubwa na upana, Ndimo mlimo viendavyo visivyohesabika, Viumbe hai vidogo kwa vikubwa. 26 Ndimo zipitamo merikebu, Ndimo alimo LEWIATHANI ULIYEMWUMBA ACHEZE…

HUYU SI YULE SEREMALA, MWANA WA MARIAMU?

Shalom. Kulikuwa na sababu kwanini Yusufu awe seremala, vilevile kulikuwa na sababu pia kwanini Bwana wetu Yesu Kristo naye pia awe seremala, na sio kazi nyingine, kabla ya yeye kuanza…

USIRUHUSU MUNGU AWEKE UADUI KATI YAKO NA WATU WAKO.

Bwana Yesu Kristo asifiwe. Karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu, ambalo ndio mwanga wa njia yetu na taa iongozayo miguu yetu. Ili tufanikiwe na tuwe na maisha mazuri siku…

THAWABU ZA SIRI, ZA WATAKATIFU MBINGUNI.

Tutakapofikia kule ng’ambo zipo thawabu za aina mbili Mungu alizotuandalia, zipo thawabu ambazo zitajulikana na kila mmoja wetu, na zipo thawabu ambazo hatutazijua kila mtu isipokuwa hao watakaozipokea. Kwa mfano…

KUOTA UNACHEZA MPIRA.

Kuota unacheza mpira kuna maanisha nini kiroho? Ndoto za namna hii kuwa zinakuja kutoka katika makundi mawili, Kundi la kwanza ni kutokana na shughuli za kila siku. Mhubiri 5:3 “Kwa…

MAOMBI YA TOBA.

Kuna tofuati kati ya sala ya toba na Maombi ya toba. Sala ya toba, ni pale mtu anapokuja kwa mara ya kwanza kwa Kristo, pale anapoamua kuacha Maisha yake ya…