DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

URIMU NA THUMIMU NI NINI KATIKA BIBLIA?

Urimu na thumimu ni nini? Katika Agano la kale Mungu alikuwa akitumia njia kuu tatu aidha kuwasilisha  ujumbe au leta majibu au kuthibitisha jambo..Njia ya kwanza ni manabii, njia ya…

USIPOKUWA MWAMINIFU, NAFASI YAKO ITACHUKULIWA.

Usipokuwa mwaminifu sasa, nafasi yako itachukuliwa na mtu mwingine. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, Mkuu wa Uzima libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu..Taa iongozayo miguu yetu na mwanga…

UNAMALIZAJE MWAKA WAKO, JE NA MUNGU AU SHETANI?

Unamalizaje mwaka wako?.Unamtukazaje Mungu katika sikukuu hizi na mwisho wa mwaka wako? Ilikuwa ni Disemba 24, 1964, jaribio la kwanza la wanasayansi la kusafiri kutoka katika obiti (muhimili) wa dunia…

JIEPUSHE NA MASHINDANO YA DINI.

Shalom.Karibu tujifunze Biblia..Neno la Mungu linasema katika 1Timotheo 6:20 “ Ee Timotheo, ilinde hiyo amana; ujiepushe na maneno yasiyo ya dini, yasiyo na maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu…

Kwanini biblia inasema mtu wa rohoni huyatambua yote?

SWALI: Mstari huu una maana gani? 1Wakorintho 2:15 “Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu”? JIBU: Ukianza kusoma kuanzia ile mstari wa kwanza utaona mtume Paulo,…

KUOTA UNAFANYA TENDO LA NDOA.

Kuota unafanya tendo la ndoa au kuota unafanya mapenzi na mtu usiyemjua maana yake ni nini? Awali ya yote tunapaswa kufahamu kuwa Ndoto yoyote ya zinaa, haitokani na Mungu..Ni aidha…

NDOA NI NINI?

Ndoa ni nini? Je ndoa za kibinadamu ni zipi na ndoa ya kimbinguni ni ipi? karibu tujifunze masomo ya ndoa na elimu ya ndoa na mafunzo ya ndoa kwa mapana.…

MADHABAHU NI NINI?

Jiunge na group la Whatsapp, ujifunze biblia na upate Neno la siku kila asubuhi. Pamoja na maswali mengi ya biblia yaliyojibiwa..kwa link hii >>> https://chat.whatsapp.com/FAyJLXo8guQ0iZ0JzQKbXg Madhabahu ni nini?..Je madhabahu ya…

USILALE USINGIZI WAKATI WA KUMNGOJEA BWANA.

Usilale usingizi wakati wa kumngojea Bwana. Luka 12: 35  “Viuno vyenu na viwe vimefungwa, na taa zenu ziwe zinawaka;  36  nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka arusini,…

HAPANA HATA MMOJA ATAKAYEIONJA KARAMU YANGU.

"Maana nawaambia ya kwamba katika wale walioalikwa, hapana hata mmoja atakayeionja karamu yangu" Tukisoma Luka 14 kuanzia mstari wa 16-24. Tunaona Bwana Yesu akitoa mfano wa mtu mmoja aliyefanya karamu…