DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Nzi wa Misri, na Nyuki wa Ashuru vilimaanisha nini? (Isaya 7:18-20).

Jibu: Awali turejee mistari hiyo.. Isaya 7:17 “Bwana ataleta juu yako, na juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako, siku zisizokuja bado, tangu siku ile aliyoondoka…

Je wazo la Herode kutafuta kumuua mtoto YESU lilitoka wapi?

Wakati Herode anaua watoto kule Bethlehemu baada ya kuzaliwa YESU je roho iliyokuwa ndani yake ilikuwa inatoka wapi?.. Kama ni shetani, je shetani hakujua kama Yusufu na Mariamu wametoka na…

NITAACHAJE DHAMBI?.

Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia, Neno la MUNGU wetu lililo Taa na Mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). 1 Petro 4:1 “Basi kwa kuwa Kristo aliteswa…

Maana ya Mithali 29:9 Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha. 

 Mithali 29:9 Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha. Mstari huo kwa lugha rahisi tunaweza kuuweka kwa namna hii. “Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu, akijibu kwa…

Theolojia ni nini?. Na je ni sahihi kuisoma?

Theolojia ni elimu ya kujifunza sifa za Mungu na mapenzi yake na jinsi anavyohusiana na wanadamu na ulimwengu  kwa ujumla. Neno Theolojia limezaliwa kutoka katika maneno mawili ya kigiriki ‘theos’,…

Je tumepewa kujua nyakati na majira ya kurudi kwa Bwana au la?.

Swali: Katika Matendo 1:7, tunaona Bwana anasema si kazi yetu kujua nyakati na majira ya kuja kwake, Lakini katika 1Wathesalonike 5:1-2 tunasoma Mtume Paulo akisema kuhusu nyakati na majira kuwa…

Je Paulo, alihimiza kusikiliza nyimbo za kidunia kulingana na Matendo 17:28

Matendo 17:28 Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazao wake. 29 Basi, kwa…

Yaya ni nani? (Mwanzo 24:59).

Swali: Huyu yaya aliyeenda na Rebeka ni nani kama tunavyomsoma katika Mwanzo 24:59? Jibu: Turejee… Mwanzo 24:59 “Ndipo wakampeleka Rebeka ndugu yao, na YAYA wake, na mtumishi wa Ibrahimu, na…

Mistari ya biblia kuhusu sadaka

Hii ni mistari ya biblia inayogusia utoaji wa sadaka wa namna mbalimbali. Sadaka kama ibada na utiifu. Mithali 3:9 Mheshimu Bwana kwa mali yako, Na kwa malimbuko ya mazao yako…

Kwanini Mwanadamu hakuumbwa kwa Neno tu kama viumbe wengine?

Swali: Katika kitabu cha Mwanzo tunaona viumbe vyote viliumbwa na Mungu kwa kutamka tu Neno!, lakini kwa mwanadamu haikuwa hivyo, alimwumba kwa mikono yake, je sababu ni nini? Jibu: Turejee…