DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Fahamu maana ya Isaya 24:16-18 Kukonda kwangu!

SWALI: Nini Maana ya Isaya  24:16-18, inapomzungumzia mwenye haki, na anaposema Kukonda kwangu! Isaya 24:16 Toka pande za mwisho wa dunia tumesikia nyimbo, Atukuzwe mwenye haki. Ndipo niliposema, Kukonda kwangu!…

NGUVU YA “KUKATAA” UNAPOPAMBANA VITA VYA KIROHO

Ushindi wa kwanza wa vita vya kiroho unaanza na “kukataa”.. Na kukataa kunaanza katika “moyo”, na kunaishia katika “kinywa”.. Unapoukiri udhaifu ndivyo unavyopata Nguvu juu yako vile vile unapoukiri uzima…

Roho ya kukataliwa ni nini?

Swali: Je kuna roho ya kukataliwa katika biblia?.. na kama ipo je mtu anawezaje kufunguliwa kutoka katika hiyo roho? Jibu: “Kukataliwa” kwa lugha nyingine ni ile hali ya “kukosa kibali”.…

Kwanini Yesu alikamatwa usiku, hawakuyafanya yale mchana?

JIBU: Yesu ni mtu ambaye alizungukwa na makutano mengi, hivyo isingekuwa rahisi kwao kumkamata wakati wa mchana, kwasababu walijua watakutana na upinzani mkubwa wa makutano.. kama maandiko yanavyosema katika vifungu…

SAFINA NI NINI?

Kwa kiyahudi huitwa ‘Tevat’, ni chombo cha majini kilichotumika mahususi kwa ukombozi. Ni mfano wa meli iliyotumika kuokoa watu/wanyama kutoka katika maangamizi fulani. Kwamfano katika biblia tunaona Nuhu aliagizwa atengeneze…

KIFUNGO CHA MWAMINI KIPO WAPI?

Unaweza kuuliza je! Mwamini anaweza kufungwa na adui?. Jibu ni ndio anaweza kufungwa. Utauliza tena, kama anafungwa sasa kazi ya Yesu msalabani ilikuwa ni nini ikiwa hajawekwa huru kweli kweli.…

Njia ya Msalaba ni nini, na Je ipo kibiblia?

Swali: Njia ya msalaba ni nini na Ipi historia ya njia ya msalaba? JIBU.. Njia ya Msalaba ni Desturi iliyoanzishwa na kanisa Katoliki ambapo waumini wanapita katika mitaa ile Bwana…

Mwujiza wa kwanza wa Bwana YESU ni upi, na una ujumbe gani?

Swali: Muujiza wa kwanza wa Bwana YESU ulikuwa ni upi? Jibu: Mwujiza wa kwanza wa Bwana YESU ni ule wa Kana ya Galilaya, ambapo aligeuza maji kuwa Divai. Yohana 2:1…

Kwanini Bwana YESU ageuze maji kuwa Divai? Na ni ujumbe gani tunapata?

Swali: Kuna nini katika Divai mpaka Bwana YESU ayageuze maji kuwa Divai? Jibu: Hakukuwa na chochote maalumu au cha kipekee katika Divai. Sababu ya Bwana YESU kuyageuza maji kuwa Divai…

Bwana Yesu alizaliwa katika nchi gani?

Bwana YESU KRISTO alizaliwa katika Nchi/Taifa la ISRAELI, lililopo mashariki ya kati. Na mji aliozaliwa ni Bethlehemu ambao ulikuwa katika urithi wa kabila la YUDA. Mika 5:2 “Bali wewe, Bethlehemu…