Ni YESU au JESUS au YESHUA Swali: Je tunapaswa kutumia jina lipi katika maombi na utumishi?..Je tutume YESU (kwa lugha ya kiswahili) au JESUS (kwa lugha ya kingereza) au YESHUA…
SWALI: Shuleni tumefundishwa sayari zipi Tisa Lakini je maandiko yanasemaje kuhusu hili, je zipo kweli kwa idadi hiyo? JIBU: Biblia si kitabu cha kisayansi, au cha taaluma yoyote, kwasababu lengo…
SWALI: Naomba kufahamu Je! dunia Ni duara, tufe au ipo kama sahani imefunikwa na glasi kwa juu?. JIBU: Jambo la msingi kufahamu kuhusu biblia ni kwamba, Biblia si kitabu cha…
Swali: Neno la Mungu linasema Katika Yohana 3:18 na 36 ..amwaminiye mwana anao uzima wa milele, asiyemwamini hana uzima? .. Je kuna haja ya kutafuta jambo lingine tena baada ya…
Zaburi 78:18-19 Wakamjaribu Mungu mioyoni mwao Kwa kutaka chakula kwa tamaa zao. Naam, walimwamba Mungu, wakasema, Je! Mungu aweza kuandika meza jangwani? Kumwamba kama ilivyotumika hapo ni “kuzungumza kinyume” Hivyo hapo anaposema “Naam,…
(Ukarimu na maziwa) Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo mwokozi wetu. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Haya ni mafunzo maalumu kwa ajili ya wanawake. Ikiwa utatamani kupata mengine mengi basi…
Msalaba ni kipande cha mti, kilichochongwa kwa kupishanishwa na kingine kwa juu. chenye lengo la kumuulia mwanadamu kwa kifo cha mateso. Tofauti na sasa, ambapo adhabu nyingi za kifo kwa…
Isaya 34:11 “KAATI na NUNGU wataimiliki, bundi na kunguru watakaa huko, naye atanyosha juu yake kamba ya ukiwa na timazi ya utupu”. Jibu: “Kaati” ni “bundi wa jangwani” (wanaoishi majangwani),…
Jibu: Tuirejee. Isaya 62:4 “ Hutaitwa tena ALIYEACHWA, wala nchi yako haitaitwa tena, UKIWA; bali utaitwa HEFSIBA; na nchi yako BEULA; kwa kuwa Bwana anakufurahia, na nchi yako itaolewa. 5…
Swali: Je kwanini Bwana YESU aseme Yuda ni shetani, na kwanini amchague shetani kama mwanafunzi wake? Jibu: Turejee.. Yohana 6:70 “Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, NA MMOJA WENU…