DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Je ni YESU au JESUS au YESHUA?

Ni YESU au JESUS au YESHUA Swali: Je tunapaswa kutumia jina lipi katika maombi na utumishi?..Je tutume YESU (kwa lugha ya kiswahili) au JESUS (kwa lugha ya kingereza) au YESHUA…

Biblia inasema nini kuhusu sayari, je ni kweli zipo tisa?

SWALI:  Shuleni tumefundishwa sayari zipi Tisa Lakini je maandiko yanasemaje kuhusu hili, je zipo kweli kwa idadi hiyo? JIBU: Biblia si kitabu cha kisayansi, au cha taaluma yoyote, kwasababu lengo…

Je! dunia Ni duara, tufe au ipo kama sahani?biblia inasemaje?

SWALI: Naomba kufahamu Je! dunia Ni duara, tufe au ipo kama sahani imefunikwa na glasi kwa juu?. JIBU: Jambo la msingi kufahamu kuhusu biblia ni kwamba, Biblia si kitabu cha…

JE KUMWAMINI BWANA YESU PEKEE INATOSHA?

Swali: Neno la Mungu linasema Katika Yohana 3:18 na 36 ..amwaminiye mwana anao uzima wa milele, asiyemwamini hana uzima? .. Je kuna haja ya kutafuta jambo lingine tena baada ya…

Nini maana ya neno kumwamba (Zaburi 78:19)

Zaburi 78:18-19 Wakamjaribu Mungu mioyoni mwao Kwa kutaka chakula kwa tamaa zao. Naam, walimwamba Mungu, wakasema, Je! Mungu aweza kuandika meza jangwani?  Kumwamba kama ilivyotumika hapo ni “kuzungumza kinyume” Hivyo hapo anaposema  “Naam,…

JIFUNZE KWA SHUJAA YAELI.

(Ukarimu na maziwa) Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo mwokozi wetu. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Haya ni mafunzo maalumu kwa ajili ya wanawake. Ikiwa utatamani kupata mengine mengi basi…

msalaba ni nini.

Msalaba ni kipande cha mti, kilichochongwa kwa kupishanishwa na kingine kwa juu. chenye lengo la kumuulia mwanadamu kwa kifo cha mateso. Tofauti na sasa, ambapo adhabu nyingi za kifo kwa…

Kaati na Nungu ni viumbe gani? (Isaya 34:11)

Isaya 34:11 “KAATI na NUNGU wataimiliki, bundi na kunguru watakaa huko, naye atanyosha juu yake kamba ya ukiwa na timazi ya utupu”. Jibu: “Kaati” ni “bundi wa jangwani” (wanaoishi majangwani),…

Nini maana ya “Hefsiba” na “Beula” (Isaya 62:4)?

Jibu: Tuirejee. Isaya 62:4 “ Hutaitwa tena ALIYEACHWA, wala nchi yako haitaitwa tena, UKIWA; bali utaitwa HEFSIBA; na nchi yako BEULA; kwa kuwa Bwana anakufurahia, na nchi yako itaolewa.  5…

Je YUDA alikuwa ni shetani kulingana na Yohana 6:70?

Swali: Je kwanini Bwana YESU aseme Yuda ni shetani, na kwanini amchague shetani kama mwanafunzi wake? Jibu: Turejee.. Yohana 6:70 “Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, NA MMOJA WENU…