DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Kudhili ni kufanya nini?

Swali: Kudhili ni nini, au mtu aliyedhiliwa anakuwaje? Jibu: Kudhili maana yake ni “kushusha chini” Mtu aliyeshushwa chini maana yake “kadhiliwa”. Katika biblia, maandiko yanaonesha kuwa Mungu huwadhili watu wote…

Mnanaa, Bizari na Jira ni viungo gani? (Mathayo 23:23)

Swali: Hivi viungo tunavyovisoma katika Mathayo 23:23, ni viungo gani na vina ujumbe gani kiroho? Jibu: Tusome Mathayo  23:23 “ Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka…

NAAM, HATA WABAYA KWA SIKU YA UBAYA. 

Sehemu ya 1 Mithali 16:4 “Bwana amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya”. Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tujifunze maneno…

JIHADHARI NA MKUTANO WA WATU WALIOCHANGANYIKANA.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu, lililo Taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu. Kuna jambo la muhimu…

BASI NIKAOGOPA, NIKAENDA NIKAIFICHA TALANTA YAKO.

Shalom…Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe milele. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Lipo la kutafakarisha sana, katika ile habari ya yule mtu aliyesafiri, na kuwaita watumwa wake watatu na kumpa…

Mbona ni maskini tu huwa ndio wanaolipuka mapepo, na sio matajiri?

SWALI: Naomba nifahamishwe mbona ni maskini tu huwa ndio wanaolipuka mapepo, na sio matajiri? JIBU: Si kweli, Nguvu za giza huwa hazichagua, hali ya mtu ya kimaisha, zinawavaa matajiri vilevile…

Masihi ni nani?

Je! neno Masihi linamaanisha nini? “Masihi” ni Neno la Kiebrania, linalomaanisha “Mpakwa mafuta” (Yaani mtu aliyeteulewa na Mungu kwa kusudi Fulani). Katika biblia watu walioteuliwa na Mungu rasmi kuwa Wafalme,…

USHIRIKA WA ROHO MTAKATIFU UKAE NANYI NYOTE.

Je! Unataka Roho Mtakatifu afanye kazi vizuri ndani yako? Fuatilia somo hili. Maandiko yanasema.. 2Wakorintho 13:14  “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu…

Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali ni chukizo kwa BWANA.

SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 20:10 Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA. JIBU: Ni mstari unaolenga ubadhilifu katika biashara au maisha…kwamfano labda mtu ni…

SALA YA BWANA. (Namna ya kuiomba)

Sala ya Bwana ni sala ambayo Bwana wetu Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake, kabla ya kuondoka kwake. Na kwa kupita sala ile, hakuwafundisha tu wanafunzi wake bali alitufundisha na sisi…