DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MAMBO YA KUJIFUNZA KATIKA KITABU CHA FILEMONI.

Jina kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu ambalo ndio mwanga wa njia yetu na Taa iongozayo miguu yetu. (Zab.119:135). Kitabu cha Filemoni ni…

Nini maana ya “Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu”?

SWALI: BWANA apewe sifa mtumishi wa Mungu! Nakusalimia katika jina la YESU KIRSTO. naomba unifafanulie Mhubili 5:1 Mtumishi maana huwa sipaelewi vizuri.. Inasema. Mhubiri 5:1 “Jitunze mguu wako uendapo nyumbani…

Ni kwanini Yesu alisema “Na wakisikia wasikie, wasielewe Wasije wakaongoka?”

SWALI: Katika Marko 4:12, Bwana Yesu anasema.. “  ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa”. Swali ni kwamba, kwanini Yesu alisema hivyo kuwa acha wasisikie…

VAZI KUU AMBALO MUNGU AMETUANDALIA KILA MMOJA WETU.

Ukisoma kitabu cha Mwanzo, utaona mara baada ya Adamu na Hawa kuasi, kwa kula yale matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya,ambayo Mungu aliwakataza wasiyale, utaona pale kwa…

Nini maana ya Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu?

SWALI: Samahani mtumishi kuna andiko linatoka kitabu cha Mhubiri 7:29 sijalielewa vizuri linamaanisha nini Mhubiri 7:29  “Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. JIBU: Mungu…

Ufunuo 12 inaelezea vita vya wakati upi?

Swali: Yale maelezo ya Ufunuo 12:7-12, yanaeleza vita vya wakati upi?, ile ya kwanza kabisa kabla ya sisi kuumbwa au kuna nyingine iliyotokea tena? Zipo vita mbili kuu zinazowahusu shetani…

LAKINI NINYI, NDUGU, MSIKATE TAMAA KATIKA KUTENDA MEMA.

2Wathesalonike 3:13 inasema.. “Lakini ninyi, ndugu, msikate tamaa katika kutenda mema”. Unajua mpaka biblia inakuambia usikate tamaa, inamaanisha kuwa si kitu chepesi kukishikilia wakati wote. Si kitu ambacho unaweza ukaona…

Tofauti kati ya Hekima, ufahamu na maarifa, ni ipi?

SWALI: a) Naomba kujua tofauti Kati ya Hekima , Ufahamu na Maarifa kwenye biblia b) jinsi gani vitu hivyo vinavyohusiana? Mithali 2:6 “Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima; Kinywani mwake…

TOFAUTISHA KATI YA MAFUNDISHO YA YESU, NA YA WAANDISHI.

Nakusalimu katika jina kuu lipitalo majina yote la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno yake pamoja, Tukisoma kitabu cha Mathayo ile sura ya saba inatuambia.. Mathayo 7:28 “Ikawa, Yesu…

Nini maana ya mhubiri 9:11? si wenye mbio washindao katika michezo?

SWALI: Shalom wana wa Mungu Naomba msaada kuelewa andiko hili; Mhubiri 9:11 “Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari…