DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

TOA SADAKA ISIYO NA KASORO KWA BWANA.

Toa sadaka isiyo na kasoro kwa bwana. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, libarikiwe!. Karibu tena tujifunze biblia..Hatuna budi kufanya hivyo kila siku..maadamu tumepewa uhai. Leo tutaendelea kujifunza umuhimu wa…

JE WAJUA?

Je Wajua kuwa Yesu ni Mungu bofya hapa kujua zaidi >> Yesu Je Wajua kwamba dunia itateketezwa kwa moto na si kwa maji tena? >> Dunia Je Wajua kuwa tunaishi…

JE! WATOTO WACHANGA WANAWEZA KUHUKUMIWA NA KUTUPWA MOTONI.

Je! watoto wachanga wanaweza kuhukumiwa na kutupwa motoni. Biblia inatuonyesha kuwa watoto wachanga wanaweza kushiriki adhabu za watu wengine waovu wakiwa hapa hapa duniani kama tu vile wanavyoweza kushiriki baraka…

HERI YULE ATAKAYEKULA MKATE KATIKA UFALME WA MUNGU.

Luka 14:15 “Basi aliposikia hayo mmojawapo wa wale walioketi chakulani pamoja naye alimwambia, Heri yule atakayekula mkate katika ufalme wa Mungu”. Enzi za biblia chakula kilichokuwa kinapewa heshima kubwa zaidi…

NAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA!

Shalom. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe… Ni kwa Neema za Bwana tumeuona tena mwaka huu mpya wa 2020. Si wote waliovuka lakini sisi tumevuka..Utukufu na heshima na shukrani…

NI NINI KINAKUPATA UNAPOIPUUZIA INJILI?

unapoipuuzia injili unayohubiriwa mwaka mzima, Ni nini kinakupata? Siku zote kuna makundi mawili ya watu. Kundi la kwanza ni watu ambao wakishaisikia injili kidogo tu, na kuchomwa dhimira zao ndani…

KWANINI NAYAWEZA MAMBO YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU?

Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.. Wafilipi 4:12 “Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yo yote, na katika mambo yo yote, nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na…

Mungu anaweza kuongea wakati yeye ni Roho?

Swali 1: Mungu anaweza kuongea wakati yeye ni Roho?..Roho inaweza kuelewa, kutambua, kuona bila ubongo?.. Swali 2: Adamu na Hawa walimwona Mungu?.. Swali 3: Na je! Mungu anazidi kujificha kwetu…

UMUHIMU WA YESU KWETU.

Umuhimu wa Yesu kwetu, ni mkubwa sana kama tunavyousoma katika kitabu cha .Waefeso 4:13 “hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na KUMFAHAMU SANA MWANA WA MUNGU, hata kuwa…

TUMTOLEE MUNGU VILE VINAVYOTUGHARIMU ZAIDI.

Tumtolee Mungu vitu vinavyotugharimu hata kuhatarisha maisha...2Samweli 23:15 Daudi akatamani, akasema, Laiti mtu angeninywesha maji ya kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango! Shalom, Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Ni…