SWALI: Biblia inamaana gani kusema jivikeni silaha ya nia ile ile? (1Petro 4:1) 1 Petro 4:1-3 Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia…
Kitabu cha Wagalatia ni moja ya nyaraka ambazo mtume Paulo aliziandika kwa makanisa aliyoyapanda. Tunaona mwanzoni kabisa mwa waraka huu Paulo mwenyewe anajitambulisha akionyesha kuwa yeye ndiye mwandishi. Waraka huu…
Msingi ni chimbuko, au mwanzo au kiini cha kitu fulani. Ni wazi kuwa kila jambo lina msingi wake. taifa lina msingi wake, taasisi ina msingi wake, kabila lina msingi wake…
Biblia kitabu kikamilifu, na kitakatifu kimeandikwa na waandishi Zaidi ya 40 kwa Uvuvio wa Roho Mtakatifu. Ndani ya biblia kuna taarifa zinazohusu maisha ya watu zilizobeba sauti ya Mungu nyuma…
Swali: Je kipindi Ibrahimu anatoka Uru ya Ukaldayo, hakuwa anajua anakokwenda kwamba ni Kaanani? au alikuwa anaongozwa na Roho Mtakatifu mpaka pale alipofika, ndipo Bwana akamwambia hapo hapo atulie?…na mbona…
Swali: Je Mungu hapendezwi na dhabihu na matoleo, kulingana na mstari huo? Jibu: Turejee.. Waebrania 10:5 “Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema, Dhabihu na toleo hukutaka, Lakini mwili uliniwekea tayari”. Andiko…
Swali: Je vitu kama giza, na maji viliumbwa siku ya ngapi, maana tunaona wakitajwa tu wanyama na mimea, je hivi vingine viliumbwa lini? Jibu: Ni kweli katika kitabu cha Mwanzo…
Swali: Biblia inasema kushindana kwetu ni dhidi wa pepo wachafu, je kulingana na mstari huo, wapo pepo wazuri? Jibu: Turejee… Waefeso 6:12 “Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya…
Jibu: Habari hii inamhusu Mtume Paulo, kipindi aliposhikwa na kufungwa akiwa Yerusalemu.. sasa ili tuelewe vizuri tuanze kusoma ule mstari wa 25 Matendo 22:25 “Hata walipokwisha kumfunga kwa kamba, Paulo…
Hosea 2:13 “Nami nitamwadhibu kwa sababu ya siku za Mabaali, aliowafukizia uvumba; hapo alipojipamba kwa PETE MASIKIONI MWAKE, na kwa vito asema Bwana”. Kabla ya kuvaa kitu, au kuiga mtindo…