Jibu: Turejee Isaya 9:6, Isaya 9:6 “Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; NA UWEZA WA KIFALME UTAKUWA BEGANI MWAKE; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu…
SWALI: Nini maana ya kumsulibisha mwana wa Mungu mara ya pili, na kumfedhehi kwa dhahiri? JIBU: Neno hilo tunalisoma katika kifungu hiki; Waebrania 6:4 Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru,…
Mata ni kitu gani na imebeba ujumbe gani kiroho? Jibu: Turejee, Mwanzo 27:2 “Akasema, Tazama, sasa mimi nimekuwa mzee, wala sijui siku ya kufa kwangu. 3 Basi, nakuomba, chukua MATA…
SWALI: Na je! Walawi na makuhani katika kanisa la sasa ni watu wa namna gani? JIBU: Mungu alilichagua kabila moja kati ya kumi na mbili liwe kabila lake takatifu litakalosimama…
SWALI: Nini maana ya Kumbukumbu 25:11 Kumbukumbu 25:11 “Washindanapo waume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na…
Swali: Kwani kulikuwa na ubaya gani, wa bwana yule kurudisha talanta ile moja?, kwani hakupoteza kitu wala hajaleta hasara yoyote?..je kulikuwa na sababu gani ya yeye kuhukumiwa vile?. Jibu: Ili…
Swali: Je Bwana alimaanisha nini kusema “ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba” Je alikuwa na maana gani kusema vile? Jibu: Mathayo 2:27 “basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao…
Swali: Biblia ina maana gani kusema Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa? Je hiki kiti cha Musa ndio kipi? Jibu: Turejee, Mathayo 23:2 “Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha…
Upo umuhimu mkubwa wa kuliita Jina la Bwana Warumi 10:12 “Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao;…
Jibu: Tusome, Walawi 19:27 “Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu”. “Denge” ni mtindo wa kunyoa nywele kwa kuziacha nyingi upande wa juu (katikati) na kuziacha…