DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Nini maana ya kumlingana Mungu?

Kumlingana Mungu ni Kiswahili cha zamani chenye maana ya  “kumwita Mungu”.  Pale mtu anapopitia jaribu, au tatizo, anapomwita au kumlilia Mungu wake kwaajili ya kupata msaada, maana yake mtu huyo…

AOGOPACHO MTU ASIYE HAKI NDICHO KITAKACHOMJILIA.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Silaha moja kubwa ya adui ni Hofu.  Na biblia inatuambia Hofu ina adhabu (1Yohana 4:18).. Leo hii tutaona adhabu kuu ya hofu ni…

DO NOT BE CONCEITED.

Blessed be the name of our Lord Jesus Christ.Let's learn and share in the Word of life.  In Romans 12:3,the Bible says; "For I say,through the grace given unto me,to…

PATANA NA MSHITAKI WAKO KWANZA.

Shalom, Biblia inasema; Luka 12:58 “Maana, unapofuatana na mshitaki wako kwenda kwa mwamuzi, hapo njiani fanya bidii kupatanishwa naye, asije akakuburuta mpaka mbele ya kadhi; yule kadhi akakutia mikononi mwake…

SI MAPEPO YOTE NI YA KULIPUKA.

Nyuma kidogo nilikuwa nadhani mtu mwenye mapepo, ni lazima yalipuke, na ikiwa hayalipuka, basi hana mapepo ndani yake. Kumbe mtazamo huu sio sahihi. Tunapaswa tujue kuwa mtu yeyote ambaye hayupo…

Mlima wa Mizeituni  unaumuhimu gani kwetu?

Mlima wa Mizeituni ni moja ya milima saba ambayo inauzunguka mji wa Yerusalemu kule Israeli . Mlima huu upo upande  wa Mshariki mwa mji huo,  umbali usiozidi kilometa moja, mpaka…

Uchaji ni nini kama tunavyosoma katika 1Timotheo 2:10?

Tusome.. 1Timotheo 2:10 “bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu” Uchaji ni kitendo cha “kumcha Mungu”. Ni sawa na neno “Ulaji wa chakula” ni neno linalotokana…

MWANZO WA INJILI YA YESU KRISTO.

Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu katika kujifunza maneno yale yale ya uzima ambayo yalikuwepo tangu zamani, ukweli pekee uliodumu na utakaodumu duniani kwa wakati wote. Leo…

Duara ya Ahazi ni ipi? Na je! Kivuli cha Hezekia kilirudije nyuma?

Zamani walikuwa hawana saa za mshale, au za kukonyeza kama tulizonazo sasa hivi ili kutambua majira ya siku, badala yake walitumia  njia nyingine mbalimbali zilizowasaidia kutambua saa za mchana, na…

Makanwa ni nini katika biblia? (Danieli 6:22)

Neno hilo tunaweza kulisoma katika kifungu hichi; Danieli 6:22 “Mungu wangu amemtuma malaika wake, naye ameyafumba makanwa ya simba, nao hawakunidhuru; kwa kuwa mbele zake mimi nalionekana kuwa sina hatia;…