DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Nini maana ya neno ‘Kuabiri’ kama linavyotumika katika  biblia?

Kuabiri maana yake ni kupanga safari, husasani ile ya majini, Neno hilo ndilo lililozaa neno abiria, ikiwa na maana  wale wanaosafiri. Utalisoma sana sana katika zile ziara za mtume Paulo,…

KUMTUMIKIA MUNGU, KUNAWEZA KUWE KINYUME NA MATARIJIO YAKO.

Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu, Biblia inatuambia Neno lake ni kama fedha iliyosafishwa motoni mara saba,(Zab 12:6) ikiwa na maana kuwa Neno lile lile moja linaweza kuwa na mafunuo…

Nini maana ya..“wakiwazuia watu wasioe” (1Timotheo 4:1)

Swali: Mtume Paulo anasema katika 1Timotheo 4:3, kwamba “wakiwazuia watu wasioe”. Alikuwa ana maana gani hasa?. Jibu: Tusome 1Timotheo 4:1  “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine…

Ukoma wa nyumba ulifunua nini zamani?

Ukoma enzi za biblia ni ugonjwa uliojulikana kama pigo kuu kutoka kwa Mungu, kutokana na dhambi ambazo mtu alizozitenda. Mtu aliyegundulika  kuwa ana ukoma ilikuwa anatengwa na jamii nzima ya…

BIBLIA INAITAJA NJIA KUU YA MFALME, NJIA HII NI IPI?

Zamani  enzi za biblia  Njia kuu ya mfalme, ilikuwa ni njia iliyotengenezwa mahususi kuunganisha mataifa mengi na miji mingi, na lengo lilikuwa ni kurahisisha shughuli za kibiashara na usafirishaji katikati…

Mbari ni nini kibiblia?

Neno hili linatwa mara nyingi sana katika biblia, sana sana mahali ambavyo vinatajwa vizazi vya wana wa Israeli. Mbari, kwa jina lingine ni UKOO. Kwamfano unaweza kukutana na  sehemu fulani…

LISHIKILIE SANA LILE AGIZO LA KWANZA.

Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu, ambalo ndio cha kweli cha roho zetu. Kawaida ya Mungu ni huwa hatoi agizo juu ya agizo. Yaani kwa mfano leo akikupa agizo fulani…

Nini maana ya “mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili”?

SWALI: Biblia inamaanisha nini inaposema “mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili”?(Yuda 1:23) JIBU: Maneno hayo utayasoma katika vifungu hivi;  Yuda 1:22 “Wahurumieni wengine walio na shaka, 23 na wengine…

Swali: Kurushwa upesi kunakozungumziwa katika Danieli 9:21 ndio kupi?

Jibu: Tusome. Danieli 9:21 “naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni”. Kurushwa upesi kunakozungumziwa hapo…

MAMA UNALILIA NINI?

Leo tutajifunza jinsi gani matatizo yetu yanavyoweza kuweza kutupofusha hata tusiione miujiza yetu. Kuna wakati Mungu, anakuwa ameshakwisha anza tayari kututendea miujiza, lakini kutokana na kuwa tunayapa sana matatizo yetu…