DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Miungu wasio na kikao pamoja na wenye mwili.

SWALI: Wale wachawi walikuwa na maana gani waliposema.."Miungu wasio na kikao pamoja na wenye mwili"?. Danieli 2:11 Ni neno la ajabu, hili analolitaka mfalme, wala hapana mwingine awezaye kumwonyesha mfalme…

MAHANAIMU (Jeshi la Mungu)!.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu... Yakobo baada ya kuondoka kwa Labani, alipokuwa njiani maandiko yanasema alikutana na Jeshi la…

Je huduma za mitume na manabii, zinaendelea kufanya kazi hadi sasa?

SWALI: Je huduma za mitume na manabii, zinaendelea kufanya kazi hadi sasa? Kwani kunaendelea mabishano baina ya wakristo baadhi, wengine wanasema kwasasa huduma hizo hazitendi kazi tena kufuatana na andiko…

Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana.

SWALI: Huu mstari una maana gani? Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana”. JIBU: Mstari huo unatupa picha…

NYAKATI AMBAZO NI LAZIMA TUKUTANE NAZO TU:

Katika maisha bila shaka kuna siku ambazo uliwahi kuamka asubuhi na kuona siku yako inakwenda vizuri sana, una furaha, unafanikiwa, au unautulivu, au unapokea taarifa nzuri mahali Fulani, kazini kwako,…

UTHAMINI WITO WA PILI WA YESU ZAIDI YA ULE WA KWANZA.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Vipo vipindi viwili vya Bwana Yesu kutuita katika maisha yetu.  Hebu tujifunze namna alivyowaita wanafunzi wake mara ya…

Forodhani ni mahali gani?

Swali: Pale Forodhani, Mathayo alipokuwa ameketi ndio mahali gani? (Mathayo 9:9). Jibu: Tusome, Mathayo 9:9 “Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona MTU AMEKETI FORODHANI, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka,…

HAPAKUWA NA NAFASI YA KUPITA KWA YULE MNYAMA ALIYEKUWA CHINI YANGU.

Nakusalimu katika jina kuu la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Nehemia ni mtu  aliyekusudia kutoka katika moyo wake, kwenda kuukarabati ukuta wa Yerusalemu uliokuwa umebomoka, mtu…

Amali, na kila kazi ya ustadi, inatokana na mtu kupingana na mwenzake.

SWALI: Naomba kufahamu mstari huu unamaana gani? Mhubiri 4:4 “Tena nikafikiri amali zote, na kila kazi ya ustadi, ya kwamba inatoka katika mtu kupingana na mwenzake. Hayo nayo ni ubatili…

NITAJUAJE KAMA MAOMBI YANGU YAMEFIKA (YAMEJITOSHELEZA)?.

Biblia inatufundisha kuomba bila kukoma... Wathesalonike 5:17  “ombeni bila kukoma” Leo tutatazama ishara chache ambazo zitatutambulisha kuwa kiwango cha maombi yetu kimejitosheleza au kimemfikia Baba yetu. 1.MZIGO KUPUNGUA NDANI YAKO.…