DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Ni kosa gani lililowafanya wana wa israeli wawe watumwa miaka 400 Misri?.

Swali: Kwanini Mungu aliwapeleka wana wa Israeli Misri kwa miaka 400, Ni kosa gani kubwa walilolifanya mpaka Mungu kuwauza kwa Farao miaka yote hiyo? Jibu: Hakuna kosa lolote walilolifanya mpaka…

UNAFAHAMU KUWA YESU HUWA ANAJITENGA NA BAADHI YA WATU?

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo, utukufu na heshima vina yeye milele na milele amina. Zipo tabia kadhaa za Yesu ambazo watu wengi huwa hatuzitambui. Kwamfano utakumbuka wakati…

WANNE WALIO WAONGO.

Biblia imetuonya imetutahadharisha vitu vitatu vilivyo na udanganyifu kuliko vitu vyote. 1.MOYO Moyo wa mtu ndio kitu kilicho kidanganyifu kuliko vyote.. Yeremia 17:9 “Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una…

LIONDOE JIWE.

Ulishawahi kujiuliza ni kwanini siku ile Bwana Yesu alipofufuka kutoka katika wafu, hakupotea na kutokea nje ya kaburi kisha kuendelea na safari yake ya kuwatokea mitume, na watu wengine lakini…

Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako.

SWALI: Mstari huu una maana gani? Mithali 27:10 “Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye…

Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha;

SWALI: Kwanini Biblia inakataza kula asali nyingi, nini maana ya mstari huu kiroho? Mithali 25:16 “Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika”. Pia sehemu nyingine inasema..…

MAJARIBU 10 WANA WA ISRAELI WALIYOMJARIBU MUNGU.

Hesabu 14:22 “kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya WAMENIJARIBU MARA HIZI KUMI, wala hawakuisikiza sauti…

Wapelelezi wa uhuru wa wakristo ni watu gani (Wagalatia 2:4)?

Jibu: Tuanzie kusoma ule mstari wa 3 Wagalatia 2:3 “Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa. 4  BALI KWA AJILI YA NDUGU ZA UONGO WALIOINGIZWA KWA SIRI;…

Kama Kristo alizichukua dhambi zetu na kutusamehe kwanini kila siku tunatubu?.

Jibu: Ni kweli Kristo alizichukua dhambi zetu kama biblia inavyosema katika kitabu cha Petro.. 1Petro 2:24 “Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa…

KAMA MKRISTO EPUKE KUENDEKEZA BAADHI YA DHAMBI

Wewe umemwaga damu nyingi, Kuna wakati Daudi aliingiwa na wazo la kumjengea Mungu nyumba, hivyo wazo hilo likawa jema sana machoni pa Mungu, likamfurahisha sana Bwana mpaka akamwahidia Baraka tele…