DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Ikiwa sisi tuliumbwa na Mungu,Je! Mungu aliumbwa na nani?

JIBU: Tukiweza kulijibu na swali hili “Ikiwa sisi tunakula ili tuishi, Je! Mungu naye anakula nini ili aishi?”…Basi tutaweza pia kulijibu hilo linaloulizwa kirahisi. Awali ya yote ni vizuri kufahamu…

USIJARIBU KUMGEUZA MUNGU MGANGA WA KIENYEJI,UTAKUFA.

Ipo mifano mingi katika biblia ya watu ambao, walijaribu kumgeuza Mungu kama mganga wa kienyeji na mwisho wao ukawa mbaya sana. Siku zote watu wanaokwenda kwa waganga utagundua wengi wao…

CHUKUA MZIGO WA MWINGINE.

Katika Biblia kuna mahali panasema… “Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo (Wagalatia 6:2)”. Lakini Biblia hiyo hiyo mbele kidogo katika mstari wa 6 inasema “Maana kila mtu atalichukua…

UVUMILIVU WA MUNGU ULIPOKUWA UKINGOJA.

Uvumilivu wa mungu ulipokuwa ukingoja, siku za nuhu Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Nakukaribisha tulitafakari Neno la Mungu, ambalo ndio pekee lenye uwezo wa kuokoa roho za watu. Ndugu…

IVUMBUE INJILI YA KRISTO KUTOKA KATIKA KILA JAMBO.

Shalom..Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe… Karibu tujifunze biblia… Katika biblia kama wengi wetu tujuavyo…Kuwa maisha yanahubiri Injili, kadhalika vitu vya asili vinahubiri Injili…maana yake Mtu akijaliwa hekima mno…

SAKRAMENTI NI NINI, NA JE! IPO KATIKA MAANDIKO?

Kulingana na kanisa Katoliki Sakramenti Ni ishara ya wazi ionekanayo, ya neema isiyoonekana, iliyofanywa na Yesu Kristo mwenyewe, itumike kutuletea au kutuongezea neema mioyoni mwetu. Yaani kwa lugha nyepesi ni…

Kwanini Bwana Yesu, aliruhusu yale mapepo yawaingie nguruwe?

SWALI: Kwanini Bwana Yesu, aliruhusu yale mapepo yawaingie nguruwe, kwanini asingeyatoa tu na kuyaacha yaende sehemu nyingine mbali na wale nguruwe, kwani kufanya vile si ni kama aliharibu biashara au…

NITAPOKEAJE NGUVU YA KUSHINDA DHAMBI?

Kurudi Nyuma kiimani maana yake nini?..Nitapokeaje nguvu ya kushinda dhambi? Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lizidi kubarikiwa..Karibu tujifunze maandiko. Swali la kujiuliza leo ni nini maana ya kurudi…

ANGALIA USIJE UKANG’OA NGANO KATIKATI YA MAGUGU.

Naomba watu wote tusome hii… Hakuna mtu asiyejua kuwa shetani, naye hujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa Nuru (2Wakorintho 11:14)? Lakini tunapaswa tujiulize lengo la yeye kujibadilisha vile ni…

TOFAUTI KATI YA HEKALU, SINAGOGI NA KANISA NI IPI?

HEKALU. Kulingana na historia ya Taifa la Israeli, tangu zamani wakiwa jangwani walikuwa wanamwabudu Mungu kwa kumtolea Dhabihu za aina mbalimbali mbele ya ile hema ya kukutania kama Musa alivyoagaizwa…