DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JINSI YA KUJIWEKA KARIBU NA MUNGU.

JINSI YA KUJIWEKA KARIBU NA MUNGU. Hakuna kitu kinachomtamaisha Mungu kama kujiweka karibu na sisi, tunalithitisha hilo katika maandiko haya “Yakobo 4:5 Au mwadhani ya kwamba maandiko yasema bure? Huyo…

Kwanini Musa alipewa mbao mbili za mawe na sio moja au zaidi

SWALI: Tukisoma Kutoka 34:1-5 Tunaona Musa anaambiwa atengeneze mbao mbili za mawe mfano wa zile za awali. Sasa swali ni kwanini ziwe mbili na sio moja au Zaidi? Na ni…

NYIMBO ZA WOKOVU

Utauliza kuna nyimbo za wokovu?. Jibu ni Ndio! Uimbaji ni moja ya karama za Roho kama zilivyo karama nyingine, kama vile Uchungaji, Unabii, ualimu, uinjilisti n.k. Na kama vile kulivyo…

Nini maana ya ”Mizani ya hadaa ni chukizo kwa Bwana”?

Je! katika biblia mstari huu una maana gani? ''Mizani ya hadaa ni chukizo kwa Bwana Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza’'? (Mithali 11:1)? ..Hiyo mizani ya hadaa ni ipi? JIBU: Katika…

NITAFUNGUAJE MILANGO ILIYOFUNGWA MBELE YANGU?

Nifanye nini ili niifungue milango iliyofungwa mbele yangu? Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Moja ya mada inayozungumzwa na wakristo wengi hususani wa kanisa hili la Mwisho ni juu ya…

NAMNA YA KUMTAMBUA BIBI ARUSI WA KWELI WA KRISTO.

Nitamtambuaje bibi arusi wa kweli? Shalom. Ni vizuri tukafahamu kuwa katika ukristo yapo makundi matatu ya waaminio. Tukilielewa hilo itatusaidia sisi kujipima tupo katika kundi lipi. Na hatua zipi tuchukue…

INGIENI KWA KUPITIA MLANGO ULIO MWEMBAMBA.

Tuingie kwa kupitia mlango ulio mwembamba. Shalom. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari pamoja maandiko…Bwana Yesu alisema maneno yafuatayo katika kitabu cha Luka.. Luka 13:22 “Naye alikuwa…

JE NI KWELI MTU ANAWEZA KUTOKA NJE YA MWILI WAKE?.

Inawezekana mtu kutoka nje ya mwili? Ipo Imani ya kwamba mtu anaweza kutoka nje ya mwili wake au kwa lugha nyingine inajulikana kama Astral projection. Ni kwamba mtu kwa mapenzi…

MTUMAINIE YESU ASIYEISHA MATUKIO.

Mtumaini Yesu asiyeisha Matukio. Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo libarikiwe. Neno la Mungu linasema katika.. Yohana 21:25 “Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata…

ZIKUMBUKE SIKU ZIJAZO ZA GIZA, KWA MAANA ZITAKUWA NYINGI.

Mhubiri anasema… “Naam, mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote; lakini na azikumbuke siku zijazo za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Mambo yote yajayo ni ubatili”(Mhubiri 11:8 ). Anaendelea na…