DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MSIWE NA UCHUNGU NAO!

Usiwe na Uchungu na Mke wako!. (Masomo maalumu kwa Wanandoa)-UPANDE WA WANAUME/ MAJUKUMU YA WANAUME. Neno la Mungu linasema.. Wakolosai 3:19  “Ninyi waume, wapendeni wake zenu MSIWE NA UCHUNGU NAO”…

Uishi kwa furaha pamoja na mke umpendaye, siku zote

SWALI: Naomba kufahamu maana ya hivi vifungu katika maandiko Mhubiri 9:7-10 Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha…

Nini maana ya kupwita-pwita? (Zaburi 38:10)

Jibu: Turejee, Zaburi 38:10 “Moyo wangu unapwita-pwita, Nguvu zangu zimeniacha; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka”. Kupwita-pwita maana yake, ni “kudunda kwa haraka”, hivyo hapo biblia iliposema “kuwa moyo wangu…

FAHAMU MAISHA YA YESU KABLA YA HUDUMA.

Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe milele na milele. Nakualika Tena wakati huu tujifunze maneno ya uzima wa Roho zetu. Wengi wetu tunavutiwa na maisha ya Yesu alipoanza huduma,…

JINSI YA KUPIGANA MAOMBI YA VITA.

Zaburi 144:1 “Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana” Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Leo…

ATAANGAMIZWA NA KUTENGWA NA WATU WAKE.

Karibu tujifunze biblia. Matendo 3:22 “ Kwa maana Musa kweli alisema ya kwamba, Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii, katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.…

Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza Naam, wanne walio na mwendo mzuri.

SWALI: Naomba kufahamu ni hekima gani tunaipata nyuma ya vifungu hivi, vinavyosema “Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza, Naam, wanne walio na mwendo mzuri”.  JIBU: Mithali 30:29 “Kuna watatu wenye…

Kwanini jiwe la kusagia Mungu alikataza lisiwekwe rehani? (Kumbukumbu 24:6).

Jibu: Turejee, Kumbukumbu 24:6 “Mtu awaye yote asitwae jiwe la kusagia, la juu wala la chini, kuwa rehani; kwani hivi ni kutwaa maisha ya mtu kuwa rehani”. Jiwe la kusagia…

Je ni kweli wanafunzi wa Yesu walikuwa hawanawi mikono?

Swali: Je ni kweli Bwana Yesu mwenyewe na wanafunzi wake walikuwa hanawi mikono kabla ya kula?..kulingana na Mathayo 15:2, na Luka 11:37 Jibu: Turejee, Mathayo 15:1 “Ndipo Mafarisayo na waandishi…

Wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza

SWALI: Naomba kufahamu kwanini mafuta yaliendelea kutumika wakati Yesu tayari alikuwa ameshakuja duniani? Marko 6:12 “ Wakatoka, wakahubiri kwamba watu watubu. 13  Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa…