DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Sinagogi la Mahuru ni lipi? na lilimaanisha nini(Matendo 6:9)

Neno hilo italisoma katika ile habari ya Stefano alipokuwa anatumiwa na Mungu kufanya ishara na maajabu yasiyokuwa ya kawaida katika kanisa lake. Lakini baadhi ya wayahudi wa masinagogi mbali mbali…

KWANINI NI YESU KRISTO WA NAZARETI?

Jina la Bwana wetu libarikiwe daima. Nakukaribisha katika kujifunza Maneno ya Mungu. Leo kwa ufupi tutatazama sehemu ya maisha ya Bwana wetu Yesu jinsi yalivyokuwa hapa duniani. Kama tunavyojua maisha…

Mpumbavu ni nani katika biblia? (Zaburi 14:1, Mithali 10:14)

Katika kitabu cha Zaburi na Mithali Neno mpumbavu linatajwa sana, naomba kufahamu mpumbavu ni mtu wa namna gani kibiblia? Biblia haielezi moja kwa moja maana ya mpumbavu, bali inaeleza tabia…

Nini maana ya K.K, na B.K?  (B.C na A.D).

Hivi ni vifupisho vya nyakati. K.K – Maana yake ni  Kabla ya kuzaliwa Kristo Yesu. Kwa kiingereza (B.C – Before Christ) Na B.K  ­- Maana yake ni Baada ya kuzaliwa…

Nini Maana ya Hosana?

Hosana ni neno la kiyahudi lenye maana ya “OKOA”. Neno hili limeonekana mara ya kwanza kwenye biblia kipindi wakati Bwana Yesu anaingia Yerusalemu, ambapo wenyeji walimpokea kwa furaha, wakimwimbia na…

Mataifa ni nini katika Biblia?

Watu wa mataifa mengine yote ya ulimwengu tofauti na Taifa la Israeli, ndio wanaojulikana kama “watu wa Mataifa”. Mungu alipoanza mpango wake wa kurejesha uhusiano wake na mwanadamu ambao ulipotea…

Kuota upo nchi nyingine.

Kuota upo nchi nyingine. Kama tunavyojua ukisafiri mahali ambapo ni tofuati na makazi yako ya asili, utakutana na mabadiliko mengi sana, hususani pale unapovuka mipaka na kuingia katika nchi nyingine,…

Sodoma ipo nchi gani?

Sodoma ipo nchi gani? Sodoma na Gomora ni miji iliyokuwa katika nchi ya Kaanani (Ambayo ndio Israeli ya Sasa). Miji hii miwili ni moja kati ya miji mitano iliyokuwa katika…

HEKIMA YA KIMUNGU, INAINGIAJE MIOYONI MWETU?

Shalom!. Karibu tuyatafakari pamoja maandiko. Elimu yoyote ile ya kidunia ni hekima..hekima sio tu kujua Nahau, na misemo na methali. Mtu anayekwenda kusoma elimu fulani labda ya uchumi au udaktari,…

Nini maana ya “kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi?”

Jibu: Tusome mstari huo kuanzia juu kidogo. Warumi 14:21  “Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lo lote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa. 22  Ile imani…