DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

THINK ABOUT THE DAY OF JUDGMENT.

Shalom, Blessed be the name of our Lord Jesus Christ ... it is good to remind ourselves of things we had previously learned or been taught. The Lord in the…

Kuungama ni nini?

SWALI: Kuungama maana yake ni nini? JIBU: Maana ya kuungama ni “kukiri jambo kwa wazi” kukubali….Kwamfano mtu anayetubu kwa kuzikiri dhambi zake kwa wazi kwamba yeye ni mwenye dhambi mbele…

USISUBIRI MPAKA MUNGU AKUAMBIE, NDIO UFANYE!

Unajua ni kwanini Daudi alipewa jina kuu na kubwa kuliko wafalme wote na watu wote waliomtangulia katika Israeli? Ni kwasababu kuna kipindi aliwaza, Mungu amenipa vyote, amenipa ufalme, amenipa uongozi…

FOR I KNOW THE THOUGHTS THAT I THINK TOWARD YOU.

Shalom, Dear brethren, By grace of the Lord, today we will reflect on the lesson which lies behind the 70 years of children of Israel to be in Babylon. One…

Mahali pa hukumu upo uovu,Na mahali pa haki upo udhalimu.

SWALI: Huu mstari una maana gani? Mhubiri 3:16-17 “Zaidi ya hayo,nikaona tena chini ya jua ya kwamba,Mahali pa hukumu upo uovu,Na mahali pa haki upo udhalimu.17 Nikasema moyoni mwangu,Mungu atawahukumu…

NA UPEPO WA KUSI ULIPOANZA KUVUMA KIDOGO,

Na upepo wa kusi ulipoanza kuvuma kidogo, wakidhani ya kuwa wamepata waliyoazimu. Shalom jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Si kila dalili nzuri inayoonekana mbele yetu, itatuletea mwisho mwema,…

VITA VYA IMANI NI VITA ENDELEVU.

Maadamu tunaishi hapa duniani, kila siku tupo mapambanoni….Unapomwamini Yesu Kristo tu na kuamua kumfuata kwa moyo wote, kwa kitendo hicho tu tayari umeshatangaza vita na ufalme wa giza..Na vita hivyo…

BWANA AKAMWAMBIA SHETANI, BWANA NA AKUKEMEE EWE SHETANI;

Shalom jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Tunaweza kujiuliza maswali mengine ni kwanini mara nyingi malaika walipokuwa wakishindana na shetani, hawakutumia uweza wao wote kupambana naye,bali…

Usimwache mwanamke mchawi kuishi! Biblia ilimaanisha nini?

SWALI: Nina swali juu ya uchawi, Biblia iliposema kuwa usimwache mwanamke mchawi kuishi ilimaanisha nini? JIBU: Katika agano la kale Mungu aliwapa wana wa Israeli hukumu...akawaambia wazishike hizo..na hukumu hizo…

HAKI HAIMWACHI KUISHI.

...Japokuwa ameokoka katika bahari,haki haimwachi kuishi... Ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu, unapaswa ujue kuwa kuna wakati sio mambo yote yataenda vizuri kama unavyofikiri, Hilo ni vizuri ukaliewa kwasababu watu…