DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JE KANISA LITAPITIA DHIKI KUU?

Hili ni moja ya swali lenye mtafaruku mkubwa sana miongoni mwa wakristo, na wengi hata wameishia mpaka kugombana kabisa!..Wapo wanaoamini kanisa litapitia dhiki kuu ndipo linyakuliwe na wapo wanaoamini kanisa…

KUOTA UMECHOMWA KISU/KUOTA UMEPIGWA RISASI.

Kuota umechomwa kisu au Kuota umepigwa risasi kuna maanisha nini? Awali, ni vyema kujua kuwa si kila ndoto aotayo mtu, ina maana katika maisha yake, Hilo ni vizuri ukalifahamu, Ndoto…

ZABURI 91, NI ZABURI YENYE NGUVU NYINGI.

Zaburi 91, Ni Zaburi iliyo ya kipekee sana yenye nguvu, Na shetani analijua hilo, ukitaka kuamini jiulize, ni kwanini Shetani aliitumia Zaburi hii kumjaribu Bwana,? Kiasi kwamba mtego wake ungekubali…

YAKINI NA BOAZI.

Shalom, jina la Bwana wetu libarikiwe daima. Neno linatuambia.. “Ni huruma za Bwana kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi..” (Maombolezo 3:22-23). Na wewe usomaye…

JE KIFO NI NINI? NA JE KUNA AINA NGAPI ZA VIFO?

Je Kifo ni nini? Na kuna aina ngapi za vifo? Kifo ni pale uhai unapoondoka ndani ya  kiumbe hai chenyewe. Kwa ufupi kifo ni Mwisho wa Maisha ya mwilini. Lakini…

KUABUDU SANAMU/IBADA ZA SANAMU.

Kuabudu Sanamu ni nini? Na ibada za sanamu ni zipi? Kuabudu sanamu: Katika  agano la kale ni kitendo chochote cha kwenda kuabudu au kusujudia, au kutumika kitu kingine chochote, tofauti…

Ni watu gani hao ambao mahali pao hapakuonekana?

Ni watu gani hao ambao mahali pao hapakuonekana? (Ufunuo 20:11) JIBU: Tusome.. Ufunuo 20:11 “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu…

USINIPITE MWOKOZI Lyrics

Usinipite mwokozi Lyrics| Swahili, - "Pass me not, O Gentle Savior" Historia ya nyimbo Usinipite mwokozi. Wimbo huu uliandikwa mwaka 1868, na mwanamke wa kimarekani aliyeitwa Fanny Crosby. Mwanamke huyu…

NI SALAMA ROHONI MWANGU Lyrics

Ni salama rohoni mwangu lyrics- It is well with my soul. Nyimbo hii ilitungwa na mwanasheria mmoja mkristo aliyeitwa Horatio Spafford, alitunga wimbo huu kutokana na mambo mazito aliyoyapitia katika…

Mungu aliposema Yesu ni mwanawe pekee, alimaanisha hakuwa na wengine?

SWALI: Mungu aliposema Yesu ni mwanawe pekee, Je! Ina maana hakuwa na wana wengine au hana wana wengine zaidi yake? JIBU: Tusome.. Yohana 3:16 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda…