DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

AGENDA KUBWA YA SHETANI KWA KANISA HILI LA LAODIKIA.

Shetani tangu zamani amekua akibuni njia mbali mbali za kumfanya mwanadamu aangumie kwa anguko litakalomfanya asiweze tena kurudi nyuma, Na amekua akifanya hivyo kwa kuchunguza ni njia ipi inayomchukiza Mungu…

JINSI ITAKAVYOKUWA KATIKA SIKU ILE

Je! Unafahamu yatakayotokea muda mfupi sana kabla ya kuondoka kwetu kwenda kumlaki Bwana mawinguni?..Ni kweli unyakuo utakuja tu ghafla kwa watakatifu wa Mungu?, Kama haufahamu Biblia ilishatupa mwangaza juu ya…

LENGO LA SHETANI KWA WATOTO WA KIZAZI HIKI.

Hekima ya dunia hii inasema “Samaki mkunje, angali mbichi”, Hii ikiwa na maana kuwa Samaki akisha kauka hawezi kukunjika tena, ukijaribu kufanya hivyo atavunjika, Na ndivyo ilivyo kwa watoto wetu,…

UKOMA NA UJANE ULIO NDANI YAKO, UMEUPATIA TIBA?

Luka 4: 22 “Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu? 23 Akawaambia, Hapana shaka mtaniambia mithali hii, Tabibu, jiponye nafsi yako; mambo…

MKUMBUKE MKE WA LUTU.

Mkumbuke Mke wa Lutu.. Luka 17:28 “Na kadhalika, kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakinunua na kuuza, wakipanda na kujenga; 29 lakini siku ile Lutu…

USIACHE KUJIFUNZA NENO LA MUNGU

Neno la Mungu limefananishwa na MBEGU (Luka 8:11), na siku zote mbegu ina uhai na inapopandwa ndani ya mtu, ule uhai wake unajidhihirisha ndani ya mtu huyo kulingana na umeaji…

KAMA UNAPENDA MAISHA, NA KUTAKA SIKU YAKO IWE NJEMA.

Biblia inasema maisha yetu yamefananishwa na chombo chochote kinachoendeshwa chenye usukani, mfano wa vyombo hivi vinaweza vikawa ni: Gari, au Meli, au ndege, n.k. vyote hivi pamoja na kwamba vina…

KITABU CHA DHIKI ZA WAKRISTO

DOWNLOAD >>> foxes_book_of_martyrs

CHANGIA SASA.

KAMA UMEGUSWA KUCHANGIA KAZI HII YA  INJILI ILI IZIDI KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI, BWANA AKUBARIKI SANA KWA MOYO HUO. HIVYO KAMA UMEGUSWA UNAWEZA UKATUMA MCHANGO WAKO KWA KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO.…

KIMBIA! KIMBIA! KIMBIA!

Makanisa yanayohubiri injili ya mafanikio tu. Na kukwambia kuwa uthibitisho wa Mungu kuwa yupo na wewe, ni kuwa tajiri ...JIHADHARI NA HILO KANISA! Makanisa yasiyohubiri toba ya msamaha na kuwafanya…