DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Je Bwana YESU alikuwa na amri ya kumwingiza mtu katika ufalme wa MUNGU au hakuwa nayo?

Swali: Kwenye Mathayo 20:20-25 Mke wa Zebedayo anamwendea YESU na wanawe akimuomba wakae pande zote za YESU na awape mamlaka alizonazo ila YESU akamwambia hana amri juu ya jambo hilo…

Kwanini Ayubu ailaani siku aliyozaliwa?

Swali: Kuna uhusiano gani kati ya aina ya maisha anayoishi mtu na ile siku aliyozaliwa?.. Kwanini Ayubu anailaani ile siku aliyozaliwa na ule usiku ilipotungwa mimba? (Ayubu 3:1-6). Jibu: Turejee..…

Je yale Makabila kumi na mawili ya Israeli, kila kabla lilikuwa na kazi gani maalumu?

Wana kumi na mbili wa Yakobo ndio waliozaa makabila 12 ya Israeli. Majina yao ni kama yafuatavyo; Reubeni Simeoni Lawi Yuda Dani Natali Gadi Asheri Isakari Zabuloni Yusufu (Manase &…

Kujihudhurisha mbele za Bwana ndio kufanyaje (Ayubu 2:1).

Swali: Maana ya kujihudhurisha mbele za MUNGU kulingana na Ayubu 2:1 ndio kufanyaje?. Jibu: Turejee… Ayubu 2:1 “Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda KUJIHUDHURISHA mbele za BWANA,…

Je kuna haja gani ya kuamini biblia iliyoandikwa na watu?

Swali: Biblia imeandikwa na watu, (kama Paulo, Petro, Musa, Daudi na wengineo) je tutaamini vipi kitu kilichoandikwa na wanadamu kuwa ni kweli,? vipi kama wametoa tu kwenye akili zao, kwanini…

Kwanini kuna tafsiri nyingi za Biblia, na tafsiri ipi ni sahihi?

Jibu: Mpaka kufikia mwaka 2024 biblia imetafsiriwa kwa lugha 756, hivyo kuna tafsiri Zaidi ya 756 mpaka sasa duniani kote. Sasa kwa asili biblia iliandikwa kwa lugha kuu tatu, ambazo…

Biblia unapozungumzia kuhusu kupewa jina jipya inamaanisha nini?

SWALI: Naomba kufahamu Biblia unapozungumzia kuhusu kupewa jina jipya inamaanisha nini? JIBU: Kazi ya jina sio tu kumtambulisha au kumtofautisha mtu mmoja na mwingine. Bali jina linasimama pia kueleza Wasifa…

Je mtu anaweza akawa hajaokoka akaombea mtu na Pepo likamtoka,

SWALI: Je mtu anaweza akawa hajaokoka akaombea mtu na Pepo likamtoka, na pia mtu anaweza akawa ameokoka akaombea mtu na pepo lisitoke ? JIBU: Kuhusu swali la kwanza linalosema je…

Madhali ni nini? (Zab 21:11)

Swali: Maana ya Madhali ni nini kama ilivyotumika hapo katika Zaburi 21:11 Jibu: Turejee… Zaburi 21:11 “Madhali walinuia kukutenda mabaya, Waliwaza hila wasipate kuitimiza”. Neno “Madhali” limeonekana mara moja tu…

Je ni Wokovu gani Simeoni aliouona? (Luka 2:30)

Swali: Tunasoma Simeoni alipomwona mtoto YESU, Alikiri kuuona Wokovu wa MUNGU, sasa swali ni Wokovu gani huo alioupata? Jibu: Tuanzie ule mstari wa 25 ili tuweze kuelewa vyema… Luka 2:25…