DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

NENO LA MUNGU NI UFUNUO MKAMILIFU.

Jina kuu la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia, (Neno la Mungu wetu), ambalo ndio taa iongozayo miguu yetu katika safari yetu ya kwenda mbinguni kwa…

Kitanga/Vitanga ni nini?

Kibiblia Kitanga ni sehemu ya mwisho wa mkono wa Mtu, au mnyama..kwa jina lingine ni kiganja. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi. Danieli 5:24-25 Ndipo kile kitanga cha ule mkono…

USIYADHARAU MARUDIA YA BWANA.

Mwana anayependwa na wazazi wake ni lazima apitie vipindi vya kurudiwa! (maana yake vya kuonywa, au wakati mwingine kuadhibiwa pale anapokosa). Na kama sisi wanawadamu tunawarudi watoto wetu pale wanapofanya…

Walakini ataokolewa kwa uzazi wake.

SWALI: Biblia inaposema mwanamke ataokolewa kwa uzazi wake, inamaanisha nini? 1Timotheo 2:14 “Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa. 15 Walakini ataokolewa kwa uzazi wake,…

Je ni viatu gani Musa aliambiwa avivue?  Vya mwilini au vya rohoni? (Kutoka 3:5).

Tusome, Kutoka 3:5 "Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu. Viatu Musa alivyoambiwa avivue ni vya mwilini kabisa!, na si vya…

JINSI UNAJISI UNAVYOMGHARIMU MTU.

Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwa. Ni siku nyingine tena tumepewa neema ya kuiona, hivyo nakukaribisha tujifunze Neno la Mungu, maadamu siku yenyewe inakaribia. Kama vile “Utakatifu na utakaso” vinavyokwenda Pamoja,…

JINSI YA KUMSIKIA MUNGU, NA KUPOKEA MAFUNUO AU JUMBE KUTOKA KWAKE.

Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo, Karibu tuyatafakari maneno ya uzima, ambayo pekee ndio yanayoweza kutufanya sisi tuwe huru kweli kweli hapa duniani( Yohana 8:32). Leo…

Nini maana ya vifungeni viuno vya Nia zenu? (1Petro 1:13).

Tusome, 1Petro 1:13 “Kwa hiyo vifungeni viuno vya nia zenu, na kuwa na kiasi; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo. 14 Kama watoto wa kutii…

USIPUNGUZE KUTUMBUIZA!

Unaweza kujiuliza je! Sisi tumeitiwa kutumbiza?.. Jibu ni Ndio! sisi tumeitiwa kutumbuiza lakini si kwenye majukwaa ya dansi au anasa. Bali mbele za Malaika na wanadamu kupitia Maisha yetu ya…

Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.

Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.