DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

AND THEY TOOK HIS GARMENTS,AND MADE FOUR PARTS.

John 19:23 "Then the soldiers, when they had crucified Jesus, took his garments, and made four parts, to every soldier a part; and also his coat: now the coat was without…

AKETIYE MAHALI PA SIRI PAKE ALIYE JUU.

Huu mstari una maana gani? Zaburi 91:1 “Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi”. Maandiko hayo yanatuonyesha kumbe Mungu anao uvuli wake.  Na uvuli huo…

MESSENGER OF THE COVENANT

Blessed be the name of our Lord Jesus Christ. Welcome to the Bible. Malachi 3:1 "Behold, I will send my messenger, and he shall prepare the way before me: and…

Bushuti ni nini?

Neno Bushuti limeonekana mara moja tu katika biblia, na maana ya Neno hilo ni “Blanketi”. Waamuzi 4:18 “Yaeli akatoka kwenda kumlaki Sisera, akamwambia, Karibu Bwana wangu, karibu kwangu; usiogope. Akakaribia…

ADHABU KALI KUTOKA KWA MUNGU, ITAMPATA MTU WA NAMNA GANI?

Mithali 15:10a “Adhabu kali ina yeye aiachaye njia;..”. Mapigo ya Mungu yanatofautiana na mtu na mtu.. Tofauti na tunavyodhani kuwa muuaji ndiye atakayeadhibiwa sana siku ile kuliko mtu aliyeuacha wokovu.…

Wale Nyoka wa Moto jangwani, walikuwa ni wa namna gani?

Wale Nyoka waliowadhuru wana wa Israeli jangwani walikuwa wana maumbile ya moto au?. Maana maandiko yanasema walikuwa ni Nyoka wa moto, Na kama walikuwa wenye maumvile ya moto, waliwaumaje watu…

LESSONS TO LEARN FROM THE BOOK OF PHILEMON.

Blessed be the name of our Savior Jesus Christ, may we study the Bible, the Word of God which is the light of our path and the lamp that guides…

Sikio lisikialo, na jicho lionalo, BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili.

Mithali 20:12 Sikio lisikialo, na jicho lionalo, BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili.

Je!Sisi kama wakristo Tunaruhusiwa kuchangia ujenzi wa Imani nyingine?

SWALI: Naomba kuuliza kwamfano mimi ni mkristo mwenye uwezo wa kifedha, nikiombwa kuchangia ujenzi wa msikiti, Je! Ni halali kufanya hivyo? JIBU: Tumeruhusiwa, kutoa misaada yoyote ile (Isiyokinzana na Neno…

Kwanini Mungu anajifanya kama hajui mambo?

Kwamfano ile habari ya Kaini utaona Bwana anamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? Tofauti na tunavyomchukulia Mungu kuwa ni Mkuu sana,…