DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Je Bwana Yesu alikuwa na mchoro (tattoo) katika paja lake?

Tusome.. Ufunuo 19:16 “Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA” Mstari huu unatumika na wengi wanaohalalisha uchoraji wa tattoo katika…

What is the difference between flesh and spirit uncleanness?

QUESTION: I need to know what is the difference between flesh and spirit uncleanness?? As we read in 2 Corinthians 7:1 2 Corinthians 7:1 "Having therefore these promises, dearly beloved,…

NA ABARIKIWE KILA AKUBARIKIYE, NA ALAANIWE KILA AKULAANIYE.

SWALI: Nini maana “nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani;”..Je! Ni kwa namna gani tunapaswa tulibariki taifa la Israeli.  Je! Ili tubarikiwe tunapaswa, tufunge na kuliombea Taifa la Israeli usiku na mchana,…

ALAMA ZA BENDERA YA ISRAELI ZINAWAKILISHA NINI?

Wakati Mungu anawatoa Israeli kutoka Misri, Mungu hakuwapa bendera kuwa kama Ishara ya Taifa hilo, Hivyo bendera kwa Israeli ni kitu kilichokuja kuzalika miaka mingi baada ya Kristo kuja duniani…

Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe;

Mithali 15:27 Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.

Karama ya pili inayozungumziwa katika 2Wakorintho 1:15 ndio ipi?

Tusome, 2Wakorintho 1:15 “Nami nikiwa na tumaini hilo nalitaka kufika kwenu hapo kwanza, ili mpate karama ya pili” Sio wakati wote neno “karama” linapotumika kwenye biblia linamaanisha “karama ya roho…

Kwanini kabla ya Kristo, miaka ilikuwa inahesabiwa kwa kurudi nyuma?

Nyakati zote kabla na hata baada ya Kristo miaka inahesabiwa kwa kwenda mbele, hakuna wakati wowote au kipindi chochote miaka ilihesabiwa kwa kurudi nyuma. Litakuwa ni jambo lisilo la kiakili…

Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.

Mithali 25: 20 “Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito, Ni kama yeye avuaye nguo wakati wa baridi; Ni kama siki juu ya magadi”. Anaposema amwimbiaye nyimbo..anamaanisha nyimbo za furaha, au…

SABATO ILIFANYIKA KWAAJILI YA MWANADAMU NA SI MWANADAMU KWAAJILI YA SABATO!

Lengo la Mungu kuwapa watu amri ya kuitunza sabato lilikuwa ni tofauti na lilivyochukuliwa au kutafsiriwa.Tuchukue mfano wa kawaida wa kimaisha... Kikawaida, kila mtu ni lazima katika siku moja anao…

Ratli/ Ratili ni nini katika biblia?

Ratili ni kipimo cha uzito kilichotumika enzi za kale..chenye uzito sawa na Gramu 500 hivi. Karibia na nusu kilo. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi kwenye biblia.. Yohana 19:39 Akaenda…