DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Tarishi au Matarishi ni akina nani  kwenye biblia?

Tarishi ni mtu aliyeajiriwa kwa kazi ya kusafirisha na kuwasilisha barua au nyaraka mahali pengine. Katika biblia watu ambao walikuwa wanatumwa kusambaza barua za wafalme kwa watu wa mji, au…

Neno Buruji lina maana gani katika biblia?

Buruji ni aina ya mnara ambao ulijengwa  zamani mahususi kwa ajili ya kuvamia kambi za maadui zilizojengwa kwa kuta ndefu. Kwa namna ya kawaida ilikuwa ni ngumu kuvamia ngome za…

MATARAJIO YA KILA MWANADAMU DUNIANI NI YAPI?

Nakusalimu katika jina la Bwana na mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tujikumbushe mambo ya msingi ambayo bila shaka moja ya hizi siku tutayaona yakitokea ulimwenguni.  Kwa kawaida ulimwengu umeundwa na makundi…

MAPEPO YANATAFUTA HIFADHI NDANI YAKO KWA BIDII SANA.

Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Je umewahi kujiuliza, mapepo yanapomtoka mtu yanakwenda wapi?..Je yanakufa au yanakwenda kuzimu?. Jibu ni kwamba idadi kubwa ya mapepo yanapomtoka mtu…

ILI NIWE KIELELEZO KWA WALE WATAKAOMWAMINI BAADAYE.

Bwana Yesu asifiwe. Karibu tujifunze neno la Mungu. Paulo ni kielelezo kikubwa sana, kwa watu walio katika dhambi leo hii, ukiyatazama maisha Paulo, utajifunza mengi sana, Yeye mwenyewe anasema hapo…

Mharabu ni nani katika biblia?

Kuna tofauti kati ya “Mwarabu” na “Mharabu”. Maneno haya mawili yameonekana sehemu kadhaa katika biblia na yana maana mbili tofauti. Tukianza na “Mwarabu”. Mwarabu au kwa wingi waarabu; ni jamii…

FAHAMU UWIANO MUNGU ANAOHITAJI KUUONA KWETU.

Ipo kanuni moja ya Mungu, ambayo ni vema sisi sote tukaifahamu. Kanuni hiyo ni kuwa Mungu huwa hafanyi mambo yote peke yake, japo anaouwezo wa kutenda mambo yote yeye mwenyewe,…

KIKWAZO CHA EUODIA NA SINTIKE.

Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu.(Zab 119:105) Leo tuwatazame wanawake hawa wawili ambao tunaona Mtume Paulo,akiwataja kipekee zaidi katika…

Maherodi walikuwa ni akina nani, Na kazi yao ilikuwa ni ipi?

Enzi zile za Bwana Yesu kulikuwa na makundi makubwa matatu yaliyokuwa na nguvu sana katika jamii, ambayo  yalikuwa yanampinga  sana vikali Bwana Yesu, tukiachalia mbali Mafarisayo na masadukayo ambao habari…

ENTER THROUGH THE NARROW DOOR.

Shalom. May the name of our Lord Jesus Christ. Welcome, let us contemplate on the Word of God. Luke 13:22-27 " 22 And he went through the cities and villages, teaching,…