Lakini haitakuwa hivyo kwenu. Shalom, Karibu tuzidi tujifunze Neno la Mungu. Mathayo 20: 24 “Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili. 25 Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa…
Moja ya maswali yanayoulizwa na wengi ni kutaka kujua juu ya Historia ya Israeli/Taifa la Israeli/Wana wa Israeli..Lakini kiuhalisia historia ya Israeli ipo kwenye biblia. Ukisoma kitabu cha Mwanzo, Kutoka,…
Mithali 11:24 “Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji”. Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tena tuyatafakari maandiko. Kuna kanuni Mungu kaziweka…
Mauti ya pili ni nini?.. Ni mauti inayofuata baada ya hii mauti ya kwanza...Mauti ya kwanza ni pale roho ya Uhai inapoutoka mwili..Yaani pale tu Roho inapotengana na mwili hiyo…
Nguvu iliyopo katika maamuzi. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujikumbushe Biblia… Leo kwa Neema za Bwana tutajikumbusha mambo ambayo tulishawahi kujifunza huko nyuma..Kwasababu biblia inatufundisha hivyo katika…
Roho, Nafsi, na Mwili, Je! vina tofauti gani? JIBU: Mwanadamu ameumbwa katika pande kuu mbili, Upande wa kwanza unajulikana kama utu wa ndani, na upande wa pili unajulikana kama utu…
Je Kwa mwanaume ni sahihi kuoa mtu uliyemzidi umri?..Na kwa upande wa mwanamke ni sahihi kuolewa na mwanaume uliyemzidi umri? (kuolewa na wanaume vijana)..Je ndoa za jinsia moja ni ishara…
Kutokuihubiri injili, madhara yake ni yapi? Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe..Karibu tujifunze Biblia mtu wa Mungu…Leo tutajifunza mambo machache muhimu yahusuyo majukumu yetu ya kuihubiri Injili. Injili…
Kuota unakula chakula maana yake ni nini? Ninakusalimu katika jina la YESU KRISTO. Awali ya yote nitoe tahadhari, kuwa kuna wimbi kubwa la mafundisho mengi ya uongo kuhusu ndoto. Hivyo…
Nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe la kuwalemea watu wa kabila zote; Kitakachochochea vita kuu mbili kuu ambazo tunazitazamia kuja huko mbeleni..ambayo ya kwanza ni ile vita ya Gogu na Magogu inayozungumziwa…