DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Mwandishi na uchambuzi wa kitabu cha Wathesalonike wa kwanza.

Kitabu hichi kama kinavyojitambulisha katika mwanzo wake  ‘Waraka wa kwanza wa Paulo mtume kwa Wathesalonike’. Paulo ndiye mwandishi wa waraka huu. Aliuandika akiwa Korintho. Tumelijua hilo  kufuatana na ujio wa…

Ufidhuli ni nini (2Wakorintho 12:10).

Swali: Ufidhuli ni nini kama tunavyosoma katika 2Wakorintho 12:10? Jibu: Turejee.. 2 Wakorintho 12:10 “Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na UFIDHULI, na misiba, na adha, na shida, kwa ajili ya…

Fahamu maana ya 2 Wakorintho 8:9 alikuwa maskini ili sisi tuwe matajiri kwa umaskini wake.

SWALI: Nini maana ya 2 Wakorintho 8:9 isemayo alikuwa maskini ili sisi tuwe matajiri kwa umaskini wake. 2 Wakorintho 8:9 Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa…

Kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi ( 1 Wakorintho 7:14)

 SWALI: Je! kulingana na mstari huu, watoto wa wapagani hawataokolewa? 1 Wakorintho 7:14 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa…

CHAGUA UTAKATIFU MWAKA HUU.

Zaburi 93:5 “Shuhuda zako ni amini sana; UTAKATIFU NDIO UFAAO NYUMBA YAKO, Ee BWANA, milele na milele”. Ni kitu gani umekichagua kwenye nyumba ya MUNGU katika mwaka huu?..Je nafasi fulani,…

Ni kipawa kipi hicho tusichoweza kukisifu jinsi ipasavyo?(2Wakorintho 9:15)

SWALI: Ni kipawa kipi hicho tusichoweza kukisifu jinsi ipasavyo? 2 Wakorintho 9:15 Mungu ashukuriwe kwa sababu ya kipawa chake, tusichoweza kukisifu kama ipasavyo.  JIBU: Mungu alitupa mwana wake (Yesu Kristo),…

Maana ya 2Wakorintho 9:11 mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote

SWALI: Nini tafsiri  ya 2 Wakorintho 9:11-12 mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote, umpatiao Mungu shukrani kwa kazi yetu. JIBU: Katika sura hii mtume Paulo analillsisitiza kanisa…

Je ni kweli Bwana YESU hajui siku ya kuja kwake? (Mathayo 24:36)

Swali: Ni kwanini siku/saa ya kuja kwa Bwana YESU anaijua Baba peke yake na mwana haijui?, na ilihali pia YESU ni Mungu? Jibu: Turejee.. Mathayo 24:36 “Walakini habari ya siku…

Mwandishi na Uchambuzi wa kitabu cha Wafilipi.

Mwandishi na Uchambuzi wa kitabu cha wafilipi Kama pale mwanzo kinavyojitambulisha “Waraka wa Paulo mtume kwa wafilipi”. Paulo ndiye mwandishi wa kitabu hiki. Ni moja ya nyaraka ambazo Paulo aliziandika…

Uchambuzi na mwandishi wa kitabu cha Waefeso.

Uchambuzi na mwandishi wa kitabu cha Waefeso. Kama kitabu kinavyojitambulisha “Waraka wa Paulo Mtume kwa Waefeso”. Paulo ndiye aliyeuandika waraka huu. Aliuandika akiwa kama mfungwa kule Rumi. Waraka huu una…