DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

SIFONGO NA SIKI NI NINI?

SWALI: Sifongo na siki ni nini, alizopewa Bwana Yesu pale Msalabani? JIBU: Tusome.. Yohana 19: 28  “Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe,…

JACHIN AND BOAZ

JACHIN AND BOAZ. Shalom, may the name of our Lord be blessed forever. The Word of God tells us .. Lamentations 3:22-23 “It is of the Lord's mercies that we…

YESU ANA KIU NA WEWE.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari maandiko pamoja. Kama tunavyojua hakuna wokovu kwa mwingine yoyote, isipokuwa kwa Bwana wetu Yesu, haijalishi dunia itasema nini, haijalishi imani nyingine…

What does it mean “in the abundance of wisdom there is the abundance of sorrows”.

QUESTION: What does the Bible mean when it says "In the abundance of wisdom there is an abundance of sorrows"? Is it not right to seek wisdom? Ecclesiastes 1:17 “ And…

Mlima Gerizimu na Ebali ni ipi, na umuhimu wao rohoni ni upi?

Mlima Gerizimu na Ebali ni ipi? Mlima Gerizimu ni mlima unaopatikana katika mji wa Samaria Israeli, unatazamana uso kwa uso na mlima Ebali, tazama picha juu, milima hii miwili ilikuwa…

“The Heart of a wise, is at his right hand” What does that mean?

QUESTION: What is the meaning of this verse? Ecclesiastes 10: 2 “A wise man's heart is at his right hand; But a fool's heart is at his left”. ANSWER: This…

Nini maana ya “katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni”.

SWALI: Biblia ina maana gani kusema “Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni” Je! si sahihi kutafuta hekima? Mhubiri1:17 “Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na…

Hanithi ni nini katika biblia? (kumbukumbu 23:17)

Hanithi ni nini? Hanithi kibiblia ni mwanaume anayeingiliwa kinyume na maumbile, (Kwa lugha ya sasa wanajulikana kama mashoga), watu wote waliokuwa wanafanya hivi vitendo, waliitwa mahanithi,  na adhabu yake ilikuwa…

Uzima wa milele ni nini?

Uzima wa milele ni nini kama unavyotajwa sehemu mbalimbali? Jibu fupi, uzima wa milele ni maisha yasiyokuwa na mwisho. Yaani unaishi tu, na utaendelea kuishi, hivyo hivyo kwa siku zisizokuwa…

Mkomamanga ni nini? Na katika biblia unawakilisha nini?

Mkomamanga ni nini? Komamanga ni tunda lenye mbegu ndogo ndogo nyingi ndani yake, ambalo linaliwa kwa kumumunywa mumunywa mbegu zake mpaka utamu wote uishe, au kwa kukamuliwa juisi, ni tunda…