DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

FUNGUO ZA UZIMA, MAUTI NA KUZIMU.

Shalom, mtu wa Mungu..karibu tujifunze Biblia… Katika kisiwa cha Patmo, Bwana Yesu alimtokea Yohana alipokuwa ametelekezwa kule na kumwambia maneno mengi sana kama tunavyoyasoma katika kitabu cha Ufunuo. Na moja…

MWEZI WA ABIBU/NISANI NI MWEZI GANI?

Mwezi wa Abibu ni upi? Huu ni mwezi wa kwanza kwa kalenda ya Kiyahudi. Ambao kwa kalenda yetu hii ya ki-gregory unaangukia katikati ya mwezi Machi, na Aprili, kutegemeana na…

Nimrodi ni nani?

SWALI: Nimrodi ni nani? Na je! Alikuwa ni mtumishi wa Mungu? Nimrodi ni kitukuu cha Nuhu kwa kupitia  uzao wa Hamu, Biblia inatuambia alianza kuwa mtu Hodari, na sio Hodari…

FAIDA ZA KUFUNGA NA KUOMBA.

Je! Unazijua faida za kufunga na kuomba? Embu isome Habari ifuatayo kwa makini; Mathayo 17:18  “Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile. 19  Kisha wale wanafunzi…

SABATO TATU NI NINI?

Swali: Sabato tatu ni nini? Kama tunavyosoma katika Matendo 17:2 Jibu: Tusome, Matendo 17:1 “Wakiisha kupita kati ya Amfipoli na Apolonia wakafika Thesalonike, ambapo palikuwa na sinagogi la Wayahudi. 2…

IPELEKE SADAKA YAKO MAHALI SAHIHI,ILI UBARIKIWE.

Karibu tujikumbushe mambo machache, ambayo yanaonekana ni madogo lakini ni ya umuhimu sana, katika mapambano ya Imani. Kuna tofauti ya sadaka na msaada. Unapomsaidia maskini huo ni msaada, na una…

KUOTA UNALIA/UKIOTA UNALIA KWA UCHUNGU.

Kuota unalia kwa uchungu/Ukiota unalia maana yake ni nini kibiblia?. Zipo ndoto zenye maana, na pia zipo ndoto zisizo na maana yoyote katika maisha ya mtu, hizi za pili ni…

MASOMO MBALIMBALI YA NENO LA MUNGU.

Jiunge na group la Whatsapp, ujifunze biblia na upate Neno la siku kila asubuhi. kwa link hii >>https://chat.whatsapp.com/LO2BncRILtiAlnRYfZWG2V Masomo mbalimbali ya Neno la Mungu. Awali ya yote nakupa hongera kwa…

USICHOKE KUNGOJEA, WALA USIKATISHWE TAMAA.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima, Nakukaribisha tena tuyatafakari maneno ya uzima. Leo tutatazama kwa ufupi Habari ya watu wawili. Wakwanza ni mtu mmoja anayeitwa Yairo mkuu wa…

KUOTA UNATOKA DAMU YA HEDHI.

kuota unatoka damu ya hedhi inamaanisha nini kibiblia? Yapo mambo mawili; Jambo la kwanza unapaswa ujue asilimia kubwa ya ndoto tunazoziota kila siku, si zote zina tafsiri ya rohoni kukusaidia,…